Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Wapelelezi wapo na wanakula kodi za Watanganyika. Zijui kuhusu za Wazanzibari.
Mpaka haijulikani nani alifanya jinai hii ya kumwagia mtu acid usoni.
Mbona majambazi wanayakamata kila siku?
Miaka 16?
Mpaka haijulikani nani alifanya jinai hii ya kumwagia mtu acid usoni.
Mbona majambazi wanayakamata kila siku?
Miaka 16?