Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Juzi kati nlikua napita mitaa ya Mwananyamala mida ya Saa Saba usiku,
Kukatiza tu nikakutana na vibaka kama 20 wakiwa full equipped with visu, nondo, panga, sime n.k.
Basi nikajua leo ndio kiama changu, mwisho wa Shark kutokea JF ndo huu, naiacha familia yangu, jamaa na marafiki, naachana na corrupted World, napoenda sipajui.
Ghafla kama vile sio mimi nikapiga mkwara, "Mimi ndio ACP Msangi, soon wenzangu wanne watawasili wakitokea Leaders", vibaka wakatoka nduki ajabu huku wengine wakidai wao sio wenzake na Dk. Uli.
Kukatiza tu nikakutana na vibaka kama 20 wakiwa full equipped with visu, nondo, panga, sime n.k.
Basi nikajua leo ndio kiama changu, mwisho wa Shark kutokea JF ndo huu, naiacha familia yangu, jamaa na marafiki, naachana na corrupted World, napoenda sipajui.
Ghafla kama vile sio mimi nikapiga mkwara, "Mimi ndio ACP Msangi, soon wenzangu wanne watawasili wakitokea Leaders", vibaka wakatoka nduki ajabu huku wengine wakidai wao sio wenzake na Dk. Uli.