Mheshimiwa mkuu wetu Wa mkoa chondechonde tunaomba huruma yako!
TUnaomba suala la usafi lisizuie mda Wa kufungua ofisi; watu wakishamaliza kufanya usafi tunaomba waruhusiwe kufungua; yule ambaye atakutwa kafungua pasipo kufanya usafi ndiyo awajibishwe;
Kuhusu mda wa kuchelewa kufungua tunaomba angalau iwe kila mwisho wa mwezi na si kila jumamosi kama ilivyo sasa;
Kwa namna hii wananchi tunapata shida sana kupata huduma;
Mama ntilie wanalia na vyakula vyao.
Kiila huduma imefungwa maisha magumu tuhurumie. Toa Tamko rafiki yetu utunusuru na hii adha!
TUnaomba suala la usafi lisizuie mda Wa kufungua ofisi; watu wakishamaliza kufanya usafi tunaomba waruhusiwe kufungua; yule ambaye atakutwa kafungua pasipo kufanya usafi ndiyo awajibishwe;
Kuhusu mda wa kuchelewa kufungua tunaomba angalau iwe kila mwisho wa mwezi na si kila jumamosi kama ilivyo sasa;
Kwa namna hii wananchi tunapata shida sana kupata huduma;
Mama ntilie wanalia na vyakula vyao.
Kiila huduma imefungwa maisha magumu tuhurumie. Toa Tamko rafiki yetu utunusuru na hii adha!