PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Wanajamvi Mbunge huyu anamiliki kituo cha Radio hapa Moshi mjini almaarufu kama MOSHI FM,Kituo hiki ni maarufu sana hapa Moshi mjini haswa ikifikia wakati wa shughuli za chama,kinatowa msaada mkubwa sana kwa matangazo na upashaji wa habari.
Kwa mawazo na ushauri yangu kwanini chama kisimwombe Mh,ndesamburo ili radio hii iwe ya chama na iongezewe nguvu haraka kabla ya mwaka 2013,Angalau isikike katika mikoa yote mikubwa hapa nchini ili kutangaza Demokrasia hapa nchini kabla ya mwaka 2015.
Tufanye kama tulivyofanya kwenye magari ya matangazo tuliyoyachukuwa kwa mwenyekiti wetu Mh.Mbowe na msaada wake ukaonekana wazi kwa chama japo kulikuwa na kelele nyingi toka kwa wana magamba,
Minaona kuanza mchakato wa kuanzisha Radio mpya itakigharimu chama muda mrefu na pengine tusifanikiwe kwa muda mwafaka,magamba na serikaliyao wanaweza kutuwekea kauzibe tisipewe kibali mapema na hata pengine tusipewe kabisa.
mnasemaje wenzangu?
Kwa mawazo na ushauri yangu kwanini chama kisimwombe Mh,ndesamburo ili radio hii iwe ya chama na iongezewe nguvu haraka kabla ya mwaka 2013,Angalau isikike katika mikoa yote mikubwa hapa nchini ili kutangaza Demokrasia hapa nchini kabla ya mwaka 2015.
Tufanye kama tulivyofanya kwenye magari ya matangazo tuliyoyachukuwa kwa mwenyekiti wetu Mh.Mbowe na msaada wake ukaonekana wazi kwa chama japo kulikuwa na kelele nyingi toka kwa wana magamba,
Minaona kuanza mchakato wa kuanzisha Radio mpya itakigharimu chama muda mrefu na pengine tusifanikiwe kwa muda mwafaka,magamba na serikaliyao wanaweza kutuwekea kauzibe tisipewe kibali mapema na hata pengine tusipewe kabisa.
mnasemaje wenzangu?