Mimi ni mkazi wa dom,kuna mheshiwa mmoja kwa kweli sisi jirani zake wa hapa area( ) tunampongeza kwani kila ajapo kwa vikao vya bunge huja na mke wake, jioni atokapo huwa anamshika mkono mkewe afu haoo! - ktk hili ametuambukiza, unaweza sema ni kitu kidogo tu sisi wakaazi wa dom tunajua vurugu za hawa ndugu (sio wote) hawaji na wake zao,kukesha chakos n' clabus, kifupi the v8 zinakuwa ktk patrol ya hiyari haijalishi ni week'nd au la....HIVI NI MTIHANI KWA SISI KINA BABA WA TZ KUTOKA AU KUMSHIKA MKONO WIFE MBELE ZA WATU? huo ni mkono je kiuno itakuwaje? je ni dini au mila? michango p/se