Mhe Zitto Kabwe kuwasilisha hoja binafsi kufufua zao la katani (bunge lijalo)

kimboka one

JF-Expert Member
Jan 23, 2010
734
85
mh zito kupitia channel ten amesema anataka kuwasilisha hoja binafsi,kwa lengo la kufufua kilimo cha katani. Hakika ktk hili nipo pamoja naye sana,na ninaomba wabunge ktk hili acheni siasa za uchama,unganeni mfufuwe uchumi wa nchi hii.

Kabwe anaweza vizuri sana na ni kichwa ila anapoingia kwenye siasa uchwa na tamaa za kujilimbikia mali. Ila ni mtu anayeweza kwa upande wa wananchi. Mungu ambadilishe awe mtu mweme
 
wazo ni zuri ila inabidi tuangalie kuwa kwa nini katani ilikufa? na je tukiifufua soko lipo?

unajua watu hawajua zao la katani lilikufa kutokana na utengenezaji wa synthetic fibers ropes na japokuwa zimethihirika si salama kwa mazingira bado katani haijapata soko kubwa kama hapo mwanzo! bado nchi nyingi zinatumia synthetic fiber ropes kwa vile wanautaratibu mzuri wa ku-recycle waste zinazotokana nazo! Labda tuitumie katani kutengeneza mazulia kwa wingi tushindane na Wairan wanaojulikana kwa mazulia japokuwa malighafi zao si katani
 
unajua watu hawajua zao la katani lilikufa kutokana na utengenezaji wa synthetic fibers ropes na japokuwa zimethihirika si salama kwa mazingira bado katani haijapata soko kubwa kama hapo mwanzo! bado nchi nyingi zinatumia synthetic fiber ropes kwa vile wanautaratibu mzuri wa ku-recycle waste zinazotokana nazo! Labda tuitumie katani kutengeneza mazulia kwa wingi tushindane na Wairan wanaojulikana kwa mazulia japokuwa malighafi zao si katani
hapo mkuu umeongea kw a sababu miaka ya 50's Tanganyika nadhani ilikuwaworlid top 5 kuzalisha katani ila hii kitu synthetic fibers ropes ndio ikaua bendi ..sasa tukifufua inabidi tujue na pa kuzipeleke.
 
katika injii hii zitto namkubali sana hakurupuki hana uchama, ukabila wala udini,BIG up zitto
 
personally namkubali Mh. Zitto, he is a treasure in this country

inasikitisha sana kuona maeneo makubwa ya zao hili la mkonge yakiwa dormant if not dead

hivi katani si inaweza kutumika kuzalisha umeme kama bio fuel?

i hope wote tutamuunga mkono na kum-support mh. zitto
 
kila la heri ktk hoja hii nzuri ila akumbuke uungwaji mkono hoja hii utategea sana na atakavyo jenga hoja ya namna kupata soko la katani na minor products zake
 
Hiyo hoja Kikwete atampigia Madam Speaker ili ipite, ili jamaa aendelee kuongeza umaarufu. Wakumbuka sakata la Kuwa m/kiti wa Mashirika ya Umma? Jk aliweka mkono wake. Lengo Jk anataka Zitto amrithi Mbowe.
 
mh zito kupitia channel ten amesema anataka kuwasilisha hoja binafsi,kwa lengo la kufufua kilimo cha katani.hakika ktk hili nipo pamoja naye sana,na ninaomba wabunge ktk hili acheni siasa za uchama,unganeni mfufuwe uchumi wa nchi hii.kabwe anaweza vizuri sana na ni kichwa ila anapoingia kwenye siasa uchwa na tamaa za kujilimbikia mali.ila ni mtu anayeweza kwa upande wa wananchi.mungu ambadilishe awe mtu mweme

Ni sawa' lakini wazo hilo liendane na kufufua viwanda vya nyuzi!
 
Ni sawa' lakini wazo hilo liendane na kufufua viwanda vya nyuzi!

si hivyo tu mkuu

tunakazi ya kuvifufua viwanda vyote vya nguo,kapeti,maza,viti,na baada ya kumaliza hilo hakika uchumi wetu utaanza kujikongoja

lakini kama tuta fufua mkonge bila viwanda kazi itakuwa ni ileile ya kuuza malighafi nje ya nchi
 
Hiyo hoja Kikwete atampigia Madam Speaker ili ipite, ili jamaa aendelee kuongeza umaarufu. Wakumbuka sakata la Kuwa m/kiti wa Mashirika ya Umma? Jk aliweka mkono wake. Lengo Jk anataka Zitto amrithi Mbowe.
Uenyekiti wa cdm sio umaarufu kupitia bunge kwahiyo kama usemayo ni kweli JK anajimaliza mwenyewe kwakuwa kwa sehemu kubwa cdm wanafanya kazi ki-team zaidi na sio individual hata Zitto analifahamu hilo vizuri ndio maana yeye mara nyingi huwa kimya zaidi ila wapambe ndio wenye kelele.
 
Hiyo hoja Kikwete atampigia Madam Speaker ili ipite, ili jamaa aendelee kuongeza umaarufu. Wakumbuka sakata la Kuwa m/kiti wa Mashirika ya Umma? Jk aliweka mkono wake. Lengo Jk anataka Zitto amrithi Mbowe.

Amaa kweli wivu na chuki ni gonjwa hatari sana haswa kwa maendeleo ya nchi. Well, Zitto atapata umaarufu (hofu yako kuu), na mwisho wa siku anayenufaika na hiyo katani ni nani?
Kama watu ni wavivu wa kufikiri wasitake kuwakatisha tamaa wenzao. Go Zitto.... Katani will provide a good number of employment as well.
 
Hii nzuri Sana,hongera Zitto,ukifanikiwa utakuwa umewasaidia vijana weng wa Tanzania,Viwanda vitafufuka na vijana weng watapata ajira na hakika tatizo la ajira hata kwa vijana wengi litapungua.,
 
wakuu katani inasoko kubwa sana ktk viwanda vya magari kwa ajili ya viti vya magari na wasambazaji wakubwa ni brizil nao wameshindwa
 
vitu vya kufufuliwa katika nchi hii ni vingi sana,viwanda vingi kama si vyote vimekufa,uwajibikaji kwa watanzania unatakiwa kufufuliwa kwani nao umekufa kabisa,namshauri zito kwanza afufue utamaduni wa kutekeleza sheria katika nchi hii kwani bila sheria kutekelezwa ni ndoto kupata maendeleo,kwa sasa sheria zipo kwenye makaratasi tu,hata hiyo hoja ya mkonge itapitishwa then no enforcement,wakati mwingine bunge uwa naliona kama the comedy tu,hawana jipya hata kidogo ni kelele tu utekelezaji ziro,inauma sana.
 
katika injii hii zitto namkubali sana hakurupuki hana uchama, ukabila wala udini,BIG up zitto

The problem with this guy is that he starts very sensible motions but he never pursues them to their logical conclusions; remember the motion he moved accusing the Finance Minister of fraudulently selling government property and in his haste to cover his tracts he dismissed the CHC board of directors?? How was the issue resolved because the Finance Minister also countered by accusing Zitto of having been bribed by CHC management in order to protect their interests in parliament? He will be well advised to handle serious issues one at a time if he has to be taken seriously.
 
Back
Top Bottom