mnyanyaswaji
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 478
- 117
hata mimi naona zitto anafanya kazi ya ujenzi wa taifa na uzalendo kwa kubeba pochi pima jotoya spika
mama makinda.
Hamadi Rashid nae kambebea nani? Acheni majungu wabongo. Ona picha waliopo Zitto, Hamad na Mbunge wa Uganda! Nae kambebea speaker?