Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,060
Tupo hapa hapa nyumbani kwetu..naona mnashabikia sana. Msidhani kuwa hii hoja itapitshwa na bunge.Where is Rejao, Ritz & Co? Sijawaona tangu hili vuguvugu la kura 70 zianze!
Tupo hapa hapa nyumbani kwetu..naona mnashabikia sana. Msidhani kuwa hii hoja itapitshwa na bunge.Where is Rejao, Ritz & Co? Sijawaona tangu hili vuguvugu la kura 70 zianze!
vP January anasaini saa ngapi au ni kesho asubuhi?
Tupo hapa hapa nyumbani kwetu..naona mnashabikia sana. Msidhani kuwa hii hoja itapitshwa na bunge.
anaisubiri hoja yenyewe aporomoshe mitusi.Jamani hivi jembe letu lusinde ata-sign?
naamini JK anasoma hii thread.
Tupo hapa hapa nyumbani kwetu..naona mnashabikia sana. Msidhani kuwa hii hoja itapitshwa na bunge.
lengo la kikwete ni kumuondoa pinda hapo kitini..
Now this is significant. I am not so much impressed by the redeeming nature of this act, some aspects of Mr. Mkono's record are hardly redeemable.
I am watching this closely because Mr. Mkono is a shrewd, well connected politician who wouldn't lend this move if there is no hope of some heavy moves.
Mkono kwa kutia sahihi list hii ametuonyesha kwamba hii movement inakubalika na wabunge wa upinzani na wa CCM,wenye uzoefu na connections tofauti.
Lazima kuna political intrigues kubwa sana hapa. Na kuna bonge la legal strategy tayari. Hata sabotage / counter espionage moves are not exactly improbable.
Tafsiri yangu ni kwamba gazeti la Tanzania Daima wako sahihi! Na sasa nyongo za watu zinaanza kutibuka!.
Chanzo ni mimi na nimeshiriki kuwa naye wakati anasaini nyaraka hiyo na nafikiri Zitto akimaliza mazungumzo naye ataweka kwenye wall yake ama twite...
Where is Rejao, Ritz & Co? Sijawaona tangu hili vuguvugu la kura 70 zianze!