utaolewa na mwigulu ww, acha wivu
Wivu wa matusi anayoporomosha na mambo ya kitoto anayofanya? Pole sana kijana wa buku 7.
utaolewa na mwigulu ww, acha wivu
Kuna tetesi kuwa mwigulu atapigwa chini :kev: huo inaibu katibu wa ccm aliopewa na kikwete, maana anashusha hadhi ya chama.kwa hiyo wanaona wakimpiga chini watanusuru aibu ya chama wanayoipata kwa mambo ya kitoto, kijinga na kipumbavu anayofanya mwigulu. Hata ubunge watampiga chini.
Awali ya yote nakupa pole kwa kupigwa ban kwani asiyefunzwa na Mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kutokuwepo kwako jamvini kumewagawa wafuasi wako na hata kwenye mijadala mingi wanazidi kuonekana hawaelewi wala kukijua wanachokitetea.
Mwanafasihi mmoja wa masuala ya kisiasa almaarufu Rudi Lack anasema, "If you want people to follow your plan,they have to know it" Lakini kwa vijana wako imekuwa tofauti.
Awali ulikuja ukasema Red Brigade ni kikundi cha ugaidi,mauaji na utekaji kwa kukifananisha na kikundi kilichowahi kuwepo Italia bila hata kutoa ushahidi wa uhusika wa CHADEMA.
Lakini kizuri, ukasifia Green Guards kuwa ni kikundi cha ukakamavu na kujilinda.Wafuasi wako wakaimba wimbo huo.Mara tena ukasema ni kikundi cha ujasiriamali; wakaimba hivyo na jana pale Passion FM umesema ni kikundi cha maonesho kwenye halaiki.
Umesahau kambi ya Ivumwe kwenye uchaguzi mdogo kata ya Iyela,Mbeya ni kikundi gani cha halaiki kinakataza watu kupita karibu na kambi? (Miluzi mingi...)
Siku zote vita haipiganwi mdomoni. Natanguliza kuwapa pole kwani 2015 mtaishia kutoa jasho la kwapamkuu Nchemba ni tishio swana ndiomaana alipoweka kambi Arusha, ccm ikapata kata 0 na CHADEMA ikapata kata 4.
Mwigulu inaonekana ni tishio, anawapasua kichwa? hakuna siku ameachwa kuandikwa tangu mwaka umeanza. safi sana!
Mwigulu jamaniii anaitesa Chadema hivi cdm msipomuandika Mwigulu hamvuti pumz jamani.
mwigulu anawanyima usingizi
Awali ya yote nakupa pole kwa kupigwa ban kwani asiyefunzwa na Mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kutokuwepo kwako jamvini kumewagawa wafuasi wako na hata kwenye mijadala mingi wanazidi kuonekana hawaelewi wala kukijua wanachokitetea.
Mwanafasihi mmoja wa masuala ya kisiasa almaarufu Rudi Lack anasema, "If you want people to follow your plan,they have to know it" Lakini kwa vijana wako imekuwa tofauti.
Awali ulikuja ukasema Red Brigade ni kikundi cha ugaidi,mauaji na utekaji kwa kukifananisha na kikundi kilichowahi kuwepo Italia bila hata kutoa ushahidi wa uhusika wa CHADEMA.
Lakini kizuri, ukasifia Green Guards kuwa ni kikundi cha ukakamavu na kujilinda.Wafuasi wako wakaimba wimbo huo.Mara tena ukasema ni kikundi cha ujasiriamali; wakaimba hivyo na jana pale Passion FM umesema ni kikundi cha maonesho kwenye halaiki.
Umesahau kambi ya Ivumwe kwenye uchaguzi mdogo kata ya Iyela,Mbeya ni kikundi gani cha halaiki kinakataza watu kupita karibu na kambi? (Miluzi mingi...)
Nakumbuka ukumbi huu uliwahi kuwa wa hoja za msingi sana. Mbona zinaanza kuwa hadimu? Nimesoma thread karibu zote hapa ni kutukanana na kukashfiana tu. Nchi hii ina matatizo kibao ambayo wengi mngeweza kuyazungumzia kuliko kutumia page zaidi ya nne (4) kumzungumzia mtu mmoja ambae hawezi hata kubadili maisha ya wengi wanaoteseka.
Safari ni ndefu.
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe hivyo sikushangai ukimfuatilia sana Mwigulu Nchemba ila huezi badili maono ya kiuongozi za mtu kama Mwigulu . Chezea visionary leaders weyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!