Mhariri wa HabariLeo ndani ya midomo la vyombo vya habari vya kiislam leo hii

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
Baada ya tahariri ya leo ya gazeti la serekali la habari leo kuchapishwa. viongozi na vyombo vya habari vya kiislam vimekuja juu.
Leo asibuhi karibu ya vyombo vyote vya habari vya kiislam vimelaani thariri hiyo.
Katika tahariri hiyo eti inadai vyombo vya madhehebu ya kiislam vinaleta uchochezi kwa kuwasema vibaya viongozi wa CCM kwenye vipindi vyao.
 
mhhh niliona humu jf watu wanaita magamba,nadhani ndio mambo yao haya...
 
Baada ya tahariri ya leo ya gazeti la serekali la habari leo kuchapishwa. viongozi na vyombo vya habari vya kiislam vimekuja juu.
Leo asibuhi karibu ya vyombo vyote vya habari vya kiislam vimelaani thariri hiyo.
Katika tahariri hiyo eti inadai vyombo vya madhehebu ya kiislam vinaleta uchochezi kwa kuwasema vibaya viongozi wa CCM kwenye vipindi vyao.




BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) Wilaya ya Dodoma Mjini limehadharisha na kuvitaka vyombo vya habari kuepuka kutumiwa kuchochea vurugu na kukashifu viongozi wa Serikali.

Badala yake Bakwata kupitia kwa Katibu wa Baraza hilo wa Wilaya, Mussa Kazimiri, imevitaka vyombo hivyo kuacha kufanya uchochezi na vitumike kuelimisha jamii kuhusu masuala ya
maendeleo na kupambana na umasikini.

Katika kuthibitisha alichokuwa akikisema, Kazimiri alifikia hatua ya kusema kuna redio ya madhehebu ya Kiislamu ambayo inafanya kazi nzuri ya kuelimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali muhimu.

Lakini hata hivyo redio hiyo imekuwa ikitumia baadhi ya wahadhiri wa chuo kikuu ambacho hakukitaja, kuzungumza kauli ambazo zina kila dalili ya kukashifu viongozi wa kitaifa, jambo
ambalo si la staha bali ni la uchochezi.

Tunapenda kuipongeza Bakwata kwa msimamo wake huo ambao unalenga kudumisha amani, utulivu na upendo miongoni mwa jamii, lakini pia kuikumbusha jamii na wanahabari, kwamba
habari na kauli mbaya vinaweza kusababisha machafuko kwa jamii.

Mauaji ya kimbari yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 na kusababisha kupotea kwa roho za watu takriban milioni moja, kwa sehemu fulani yalichochewa na habari zilizotolewa na wanahabari
kupitia vyombo vyao zikichochea mauaji.

Ni kweli kwamba vipo vyombo vya habari nchini ambavyo badala ya kuzingatia dhima zao kuu za kuwapo kwao yaani kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, vimekuwa vikitumika
kuchochea chuki na hasira miongoni mwa jamii na kuhatarisha usalama.

Mbaya zaidi kama alivyosema Kazimiri, vipo vyombo ambavyo vinatumia wahadhiri ambao wana elimu na utambuzi mkubwa wa mambo, kuchochea hasira na chuki kwa jamii; ilhali
wakijua kuwa wanaaminika katika kauli zao.

Ni dhahiri, kwamba Bakwata ina dhamira ya dhati ya kukemea tabia hiyo hatari kwani isingekuwa hivyo isingeweza wala kuthubutu kutaja kituo cha redio kinachomilikiwa na Waislamu na kukituhumu kwa mwenendo wake huo mbaya.

Watanzania tunapaswa kutambua kuwa nchi hii ni yetu sote na kama itachafuka kutokana na habari zinazoandikwa na kutangazwa na vyombo vya habari, bila shaka lamawa zitatuangukia
sisi wenyewe.

Kuwapo kwa dini tofauti, itikadi tofauti za kisiasa na utamaduni tofauti, si tiketi ya watu kutofautiana kibinadamu na kuchukiana hata kusababisha machafuko nchini kwa sababu tu
gazeti, redio au televisheni fulani imetangaza kichochezi.

Tuendelee kudumisha amani na utulivu, upendo na mshikamano, na tuendelee kukemea vyombo vya habari vinavyotaka kutugawa, kutuchochea na kutupiganisha na hatimaye tukose wa kumlilia kwa ujinga wetu wenyewe.

 
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) Wilaya ya Dodoma Mjini limehadharisha na kuvitaka vyombo vya habari kuepuka kutumiwa kuchochea vurugu na kukashifu viongozi wa Serikali.

Badala yake Bakwata kupitia kwa Katibu wa Baraza hilo wa Wilaya, Mussa Kazimiri, imevitaka vyombo hivyo kuacha kufanya uchochezi na vitumike kuelimisha jamii kuhusu masuala ya
maendeleo na kupambana na umasikini.

Katika kuthibitisha alichokuwa akikisema, Kazimiri alifikia hatua ya kusema kuna redio ya madhehebu ya Kiislamu ambayo inafanya kazi nzuri ya kuelimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali muhimu.

Lakini hata hivyo redio hiyo imekuwa ikitumia baadhi ya wahadhiri wa chuo kikuu ambacho hakukitaja, kuzungumza kauli ambazo zina kila dalili ya kukashifu viongozi wa kitaifa, jambo
ambalo si la staha bali ni la uchochezi.

Tunapenda kuipongeza Bakwata kwa msimamo wake huo ambao unalenga kudumisha amani, utulivu na upendo miongoni mwa jamii, lakini pia kuikumbusha jamii na wanahabari, kwamba
habari na kauli mbaya vinaweza kusababisha machafuko kwa jamii.

Mauaji ya kimbari yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 na kusababisha kupotea kwa roho za watu takriban milioni moja, kwa sehemu fulani yalichochewa na habari zilizotolewa na wanahabari
kupitia vyombo vyao zikichochea mauaji.

Ni kweli kwamba vipo vyombo vya habari nchini ambavyo badala ya kuzingatia dhima zao kuu za kuwapo kwao yaani kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, vimekuwa vikitumika
kuchochea chuki na hasira miongoni mwa jamii na kuhatarisha usalama.

Mbaya zaidi kama alivyosema Kazimiri, vipo vyombo ambavyo vinatumia wahadhiri ambao wana elimu na utambuzi mkubwa wa mambo, kuchochea hasira na chuki kwa jamii; ilhali
wakijua kuwa wanaaminika katika kauli zao.

Ni dhahiri, kwamba Bakwata ina dhamira ya dhati ya kukemea tabia hiyo hatari kwani isingekuwa hivyo isingeweza wala kuthubutu kutaja kituo cha redio kinachomilikiwa na Waislamu na kukituhumu kwa mwenendo wake huo mbaya.

Watanzania tunapaswa kutambua kuwa nchi hii ni yetu sote na kama itachafuka kutokana na habari zinazoandikwa na kutangazwa na vyombo vya habari, bila shaka lamawa zitatuangukia
sisi wenyewe.

Kuwapo kwa dini tofauti, itikadi tofauti za kisiasa na utamaduni tofauti, si tiketi ya watu kutofautiana kibinadamu na kuchukiana hata kusababisha machafuko nchini kwa sababu tu
gazeti, redio au televisheni fulani imetangaza kichochezi.

Tuendelee kudumisha amani na utulivu, upendo na mshikamano, na tuendelee kukemea vyombo vya habari vinavyotaka kutugawa, kutuchochea na kutupiganisha na hatimaye tukose wa kumlilia kwa ujinga wetu wenyewe.



kwanini habarileo hawailani WAPO IFM AU NDIO AU DINI MOJA NA MUHARIRI
[/QUOTE]
 
Baada ya tahariri ya leo ya gazeti la serekali la habari leo kuchapishwa. viongozi na vyombo vya habari vya kiislam vimekuja juu.
Leo asibuhi karibu ya vyombo vyote vya habari vya kiislam vimelaani thariri hiyo.
Katika tahariri hiyo eti inadai vyombo vya madhehebu ya kiislam vinaleta uchochezi kwa kuwasema vibaya viongozi wa CCM kwenye vipindi vyao.

Huwa hawakosolewi hao!!!!! ila nafikiri huyo mhariri inafaa apewe tuzo!! la kusema ukweli usiotakiwa!!!!
 
Huwa hawakosolewi hao!!!!! ila nafikiri huyo mhariri inafaa apewe tuzo!! la kusema ukweli usiotakiwa!!!!

Mwandishi wenyewe hakujiamini wakati alipoandika tahriri yake!!! Fuatilia habari usiwe kasuku wewe!
 
Uchochezi unaofanywa na hichi kituo ni mwendelezo wa chuki za kidini/kisiasa zilizoasisiwa na serikali ya ccm wakati wa campaign za mwaka 2010. Wamelegeza mashambulizi kwa mahasimu wa waliowatengeneza na kuyapeleka kwa hao waasisi wao. Hii itakuwa ni mbinu ya kutaka pesa waliyokuwa wakilipwa kwa uchochezi wao iendelee kulipwa maana inaonekana neither imepunguzwa nor imekatwa kabisa.
.
 
nakufahamu sana ww ni ant xstians
wapo ni redio binafsi naiheshimu sana
haikashifu dini ya mtu bali wanamtangaza kristo na mahubiri
vipindi vyao ni vya kuelimisha na kujenga na sio majungu kila kukicha kama radio zenu hizo wenye watangazaji vilaza
wasiojua nini maana ya utangazaji
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: Text, align: left"]kwanini habarileo hawailani WAPO IFM AU NDIO AU DINI MOJA NA MUHARIRI[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom