Baada ya tahariri ya leo ya gazeti la serekali la habari leo kuchapishwa. viongozi na vyombo vya habari vya kiislam vimekuja juu.
Leo asibuhi karibu ya vyombo vyote vya habari vya kiislam vimelaani thariri hiyo.
Katika tahariri hiyo eti inadai vyombo vya madhehebu ya kiislam vinaleta uchochezi kwa kuwasema vibaya viongozi wa CCM kwenye vipindi vyao.
Leo asibuhi karibu ya vyombo vyote vya habari vya kiislam vimelaani thariri hiyo.
Katika tahariri hiyo eti inadai vyombo vya madhehebu ya kiislam vinaleta uchochezi kwa kuwasema vibaya viongozi wa CCM kwenye vipindi vyao.