mambo moto
Member
- Mar 7, 2012
- 12
- 0
Kuna mhariri mmoja wa michezo pale kampuni ya The Guardian Ltd anaitwa Fred Ogoti ambaye sasa inaelezwa kuwa anasimamia dawati la michezo la Guardian On Sunday, hajui michezo, hajui kiingereza, yaani ni aibu tupu. Kwa ujumla ni kwamba anafanya kazi 'kisanii' sana. Nimesema hayo kwa sababu ninamfahamu na nilishafanya naye kazi na kutambua uwezo wake. Ushauri wangu ni kwamba kama mzee Mengi hajui hilo, basi ni vema akatambua kuwa kwenye kampuni yake hiyo inayoitwa Jumba Kubwa la Magazeti wapo baadhi ya watu wanatumbua mshahara bure bila kazi akiwemo mhariri
huyo. Nawasilisha.
huyo. Nawasilisha.