Mwalimu Mkuu
Member
- Dec 26, 2010
- 62
- 39
aliyekuwa mhadhiri katika chuo kikuu cha Arusha mpiganaji Dadi Igogo amefukuzwa kazi katika chuo kikuu cha arusha kwa kuhusishwa na siasa chuoni hapo.
Umeonaeeeeeeeeeeeeh!
Govt's loss is private uni's gain. Sasa hivi atapata ajira kwenye chuo cha binafsi. watafukuza wangapi?
aliyekuwa mhadhiri katika chuo kikuu cha Arusha mpiganaji Dadi Igogo amefukuzwa kazi katika chuo kikuu cha arusha kwa kuhusishwa na siasa chuoni hapo.