Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
nilikuwa naangalia kipima joto leo cha itv nna imani kuwa huyu ni yule nlimuona kule akitoa hoja zake(i stand to be corrected)..turudi kwenye mada...binafsi niko pamoja na mleta mada kuwa watu wenye ufahamu mkubwa kama hawa ndio wanatakiwa waingie katika nyadhifa za uongozi kwa sababu wataweza kutoa maamuzi sahihi kutokana na ujuzi wao...nifupishe tu na niseme kuwa tunahitaji wahandisi(engineers),madaktari(medical doctors) na wataalamu wengine katika nyadhifa muhimu kama bunge. Ni miongoni mwa makosa wataalamu wengi wanafanya kwa kuacha siasa then wanakaa kulaumu viongozi mara vilaza mara vihiyo wanasahau kuwa wao ndo walikosea kwa kutotafuta uongozi WITO WANGU:let us STOP making STUPID people famous
jaman prof MUHONGO mlimsifia sana hapa,nae anaharisha tu,