Hao wawili walikuwepo Chuo kikuu Mzumbe kwenye mjadala wa Changamoto kuelekea jumuiya ya afrika mashariki, Mzumbe inaonyesha wanamkubali sana Sitta ila alipokusia tu suala la posho kijasho chembamba kilimtoka
Enhe! sasa akasemaje kuhusu hizo posho, mbona humalizii? Maake hata yeye ameshindwa kutoka CCM kwenda CCJ sababu ya hivyo viposho. Si unajua ndiye alianzisha move ya kuongeza vinono kwa wabunge mara tu alipopata uspika? Ndiyo maana nina hamu ya kusikia leo anasemaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.