Mh. Rais, kuwe na Fair ground katika kumiliki Uchumi

Tuseme katika jumuia ya Africa Mashariki, hawa machori chori wameikamata na wanaitafuna sana Tanzania, huu upuzi wao huukuti nchi za wenzetu, yani Tanzania shamba la bibi, wahindi ni jipu
 
Jipu la kutumbua pia ni BOT, hili ni 100% jipu. Bank zimekuwa zinahusika na kusaidia wageni kutakatisha pesa nje ya nchi na hakuna hatua inayochukuliwa. BOT+Uhamiaji ni majipu. Bank of tanzania imekuwa usingizini over 50 yrs, wametoa mwanya sana kwa wageni wanafanyia kazi zao zote tanzania na pesa zinaweka nchi za nje.
 
Inabidi ifanyike sensa tanzania nzima kwa ajili ya wageni wa ki-asia tuweze kuwatambua lini waliingia , kwa muda gani wamepata uraia wa tanzania, nani amewapatia, na tujue idadi kamili ya waliopo. pia tuweke idadi ya hawa watu kuingia nchini kwa mwaka, na wakiingia lazima wasigin makubaliano ya vitu ambavyo hawatakiwi kujihusisha navyo, pia tuwajulishe kuwa haiwezekani na hairuhusi kwa nchi hizo kupata uraia nchini hata kama watakaa miaka hamsini ili tupunguze idadi yao. Kingine waje tanzania kama wafanyabiashara tu na waajili wazawa. Company zao zikaguliwe kujua idadi ya watanzania walio ajiliwa.

Wahindi sio wabaya, ccm ndiyo mbaya, inachota fedha za kuendeshea vikao vya chama na chaguzi kichama toka kwa wahindi; halafu inawaacha wahindi wanakwepa kodi.
 
\

This is too extreme by all standards,

It is important not to violate our values and mostly important, the values to support human rights of any, and livelihood to all mankind..

Wahindi hawana ubinadamu,by all means lazima tuwakatae nw
 
Baba yangu mhindi mama mtanzania mweusi.Nimezaliwa tanzania na kukulia hapa.Nimesoma shule za serikali mpaka Chuo Kikuu sasa nimeajiriwa na serikali kama Mhandisi.Je na mimi nifukuzwe?

Kama unatabia za ubaguzi na unyonyaji kama za wahindi hautufai.ufukuzwe tu.
 
No,HAPANA, iwe hivi,tuwachunguze viongozi wote wa nchi tangu Mwinyi.Weka ndani hao hadi watapike walichopewa na hao wahindi na kwa sasa hata wachina. Tuanze na ba'riza-uwa-one tushuke chini.

Mimi hata wakifa wote sisikitiki,wabaguzi wakubwa
 
Solution sio kuwafukuza inatakiwa kuwadhibiti then ataenyoosha mikono ataondoka mwenyewe. Mfano tukisimamia sheria za uhamiaji na vibali vya ajira wataondoka wenyewe.

Uhamiaji wenyewe ni jipu, nchi hii!!
 
Tumechoka kunyanyaswa kwenye nchi yetu.hawa raia wa kihindi wanaojifanya watanzania wametunyonya vya kutosha , wametutumikisha, wametudharau, wameshika uchumi wetu kwa muda mrefu tena kwa njia zisizo halali. MH. Rais Magufuli nakuomba uwadhibiti hawa wahindi .haiwezekani mhindi anafanya biashara Tanzania pesa anaweka UK au Canada hii ni dharau wanaionaje nchi yetu?







wanajiita watanzania lakini values and customs zetu wanazidharau. Pls mimi siyo mbaguzi wa rangi .
Ujinga huu.... fair ground zipi unataka? Kuna mtu amewahi kuzuiwa biashara sababu ya weusi wake? Wahindi ni wazoefu kwenye biashara, pamoja na madhaifu yao, tujifunze kwenye mbinu zao ili tuweze kwenda mbele. Otherwise, tutakuwa tunajitekenya halafu trunacheka wenyewe.
 
Tumechoka kunyanyaswa kwenye nchi yetu.hawa raia wa kihindi wanaojifanya watanzania wametunyonya vya kutosha , wametutumikisha, wametudharau, wameshika uchumi wetu kwa muda mrefu tena kwa njia zisizo halali. MH. Rais Magufuli nakuomba uwadhibiti hawa wahindi .haiwezekani mhindi anafanya biashara Tanzania pesa anaweka UK au Canada hii ni dharau wanaionaje nchi yetu? wanajiita watanzania lakini values and customs zetu wanazidharau. Pls mimi siyo mbaguzi wa rangi .
Huo unaitwa wivu, maana wivu ni pale unapotaka kitu si chako na Huzuni ni pale unapopotelewa na kitu chako.Unatakiwa nawe ufanye kazi kwa bidii kama una ushahidi si Upeleka polisi kuna mtu amevunja sheria.

Kama si ubaguzi na ni wivu unakusumbua ni kitu gani? Kuliweka kundi moja lote la watu wa kabila moja na kuwatuhumu kuwa wametunyonya, wametutumikisha, wametudharau, wameshika uchumi wetu kwa muda mrefu tena kwa njia zisizo halali.Kama una ushahidi tumbua jipu sio kulalama.
 
Mkisema tuige mbinu zao za kufanya biashara, wengi wao hawaendeshi biashara zao kiuhalali, ndio palepale tutaifilisi nchi yetu, maana itabidi:
  • Tukwepe kodi kama ............ ya yuleyule singasinga (singasinga ni mhindi?)
  • tufanye ufisadi kama ule wa EPA (ktk hili kuna implicated indians walihusika)
  • Tuendeshe biashara zetu kwa rushwa kama wao?
  • Tuwe wahujumu uchumi kama akina CHAVDA (Chavda alikuwa mhindi?)
Nini itakuwa suluhu ya haya mambo yote na mengineyo tusiyoyajua? Marry Hunbig Faridi
 
Last edited by a moderator:
Mkisema tuige mbinu zao za kufanya biashara, wengi wao hawaendeshi biashara zao kiuhalali, ndio palepale tutaifilisi nchi yetu, maana itabidi:
  • Tukwepe kodi kama ............ ya yuleyule singasinga (singasinga ni mhindi?)
  • tufanye ufisadi kama ule wa EPA (ktk hili kuna implicated indians walihusika)
  • Tuendeshe biashara zetu kwa rushwa kama wao?
  • Tuwe wahujumu uchumi kama akina CHAVDA (Chavda alikuwa mhindi?)
Nini itakuwa suluhu ya haya mambo yote na mengineyo tusiyoyajua? Marry Hunbig Faridi
Kilimo ukiamua kumuangalia mtu negatively hakuna la maana utaliona. Mimi ni mweusi, nimechukua muda kujifunza kwanini asians are so successful kwenye biashara na kwa kuchukua mazuri yangu na kuyafanyia kazi, nimefanikiwa kutoka katika rat race na sasa nipo huru kiuchumi.
kalaghabaho!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mbona kuna watanzania wengi wanao wanyanyasa wafanyakazi kuliko wahindi.Jifunzeni kupendana nakutakiana mazuri kama wao.
 
Death to all indians
Kwa akili yako tuwaue wahindi kwakuwa wezi, matajiri, wanakaa katika magorofa, wana kila tabia mbaya, sasa tukisha waua nini kitokee, tuchuke nyumba za, biashara zao,na mali zao tumpe nani. Mchaga, mzaramo, mhehehe, mmasai nk.

Huoni kama baada ya muda wachaga wakitajirika na kujiendeleze itabidi nao tuwaue, huo ndio myororo wa ubaduzi na wivu unavyoenda, mwisho kabisa tutauana wenyewe kwa wenyewe ndiyo maana unapigwa vita ulimwenguni kote.

Ni hasara kuona karne hii kuna watu wana fikra na chuki kama zako, unaonekana ukikutana na mhindi unaweza amua kumuua bila sababu.
 
Kwa akili yako tuwaue wahindi kwakuwa wezi, matajiri, wanakaa katika magorofa, wana kila tabia mbaya, sasa tukisha waua nini kitokee, tuchuke nyumba za, biashara zao,na mali zao tumpe nani. Mchaga, mzaramo, mhehehe, mmasai nk.

Huoni kama baada ya muda wachaga wakitajirika na kujiendeleze itabidi nao tuwaue, huo ndio myororo wa ubaduzi na wivu unavyoenda, mwisho kabisa tutauana wenyewe kwa wenyewe ndiyo maana unapigwa vita ulimwenguni kote.

Ni hasara kuona karne hii kuna watu wana fikra na chuki kama zako, unaonekana ukikutana na mhindi unaweza amua kumuua bila sababu.

Utakua mhindi wewe,na unaongea sbb hujawahi fika india
 
Hata serikalini Uchumi tunatoafautiana japo tuna sifa sawa za elimu na ajira inayofanana. Waliomaliza Accountancy wote TIA na kuajiriwa wizara moja Mishahara tofauti. Accountant wa Wizara ya Ujenzi na wa TAnroads ujira unapishana sana. Kabla ya kuwasema Wahindi tuangalie pia Uchumi wa watumishi Wa umma wote kwa maana ya kipato cha mwezi Na mwaka. Hakuna Unyonyaji huko?
 
Andika (post) kero yako hapa; pale ambapo huduma uliyolipia haipatikani bila taarifa. Lengo letu ni kujifunza na pengine kuwasaidia watoa huduma kudumisha huduma zao kwa wateja.

Mwisho, tutapata nafasi ya kuona huduma ipi inalalamikiwa zaidi na watumiaji.
 
Back
Top Bottom