TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Vigezo vya kutamaniana ni vipi?, na kupendana kwa uharisia ni vipi?, nipe mfano wa walipendana na si kuatamaniana.
Unaelewa maana ya kutamani?
Na je unaelewa maana ya kupenda?
Vigezo vya kutamaniana ni vipi?, na kupendana kwa uharisia ni vipi?, nipe mfano wa walipendana na si kuatamaniana.
Hii thread ni ya kifala kwann ufuatilie sura za watu wa watu we inakuhusu nn?
Ishakuwa nchi ya kifalme hii.
NIMEWIWA KUULIZA HILI BAADA YA KUSOMA HII KWENYE MWANANCHI
Aliwananga mahasimu wake wa kisiasa wanaoeneza maneno kwamba amekwenda kumpigia debe Sioi kwa kuwa ni mkwe wake na kusema hakuna dhambi kwa mkwewe huyo kugombea jimbo hilo kwa kuwa anazo sifa… "Hata mkisema ni mkwe wangu, kwani kuna dhambi gani? Alimpenda Pamela sasa nimkatae kwa kuwa mimi ni mwanasiasa?"
KAMA MZAZI NIMEONA WAKATI MUAFAKA MZEE ANA UHAKIKA GANI SIOI ALIMPENDA MWANAE PAMELA NA SI KUMTAMANI ......JE ANAJUAJE TOFAUTI YA KUPENDA NA KUTAMANI KAMA MKWE
NAAMINI NDUGU ZANGU MNAOMJUA SIOI MKIMWEKA NA PAMELA MTAJUA NA KUPATA JIBU..NAAMINI KAMA KUMPENDA LABDA PAMELA NDIE ALIEMPENDA SIOI MENGINE TUNASUBIRI SIOI ATUPE MAJIBU YA KWELI