Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Chachua muhimu, pombe zote ni michacho tu na tunaipenda
Mshachachua mada....wabinafsi sana nyie
Mshachachua mada....wabinafsi sana nyie
Jina lako halitishi ila sura yako loh!
Kafanye face-lift au plastic surgery kabisa
Ngoja tena nikuwekee na supa gluu kabisa ili unate hapo hapo!!mie sijambo kabisa, najitahidi kumridhisha mkoloni hapa ili aniongeze kwenye listi ya bonus,lol.
nimeona watu wanakurusha baana, mara eeh! wapi papaaa Rejao,
moyoni nkajisemea pembeni yako sibanduki, lol
Haha ha ha ha..ROTFL,,,mbavu zangu! Nimecheka mpaka kila mtu hapa kaniona kama mwehu!Usifanye chochote, hiyo sura ni hela tupu hujaamua kwenda holiwud tu.
Unapewa nafasi ya jambazi au pawa malimao au mcheza argentian tango au mwanasayansi anayetaka kuvumbua hata yeye hajui anataka kuvumbua nini (kama Dexter laboratory)
Those eyes: sharp, bright, pawaful eyez they are yummy yummy
Wewe umeanzisha mada ukakimbia..sasa ulikuwa unategemea nini? Tushukuru tumekusaidia kuiweka alive cuz haikuwa na cha kudiscussWa binafsi wakubwa, ona wanavyoanza kuongelea mambo yao binafsi!
Usiongee kwa nguvu aisee..hop hamna aliyeona.Lol....kweli hii chit-chat, Rejao!! angalia usije ukaa kama wacko jacko
Haha ha ha ha..ROTFL,,,mbavu zangu! Nimecheka mpaka kila mtu hapa kaniona kama mwehu!
This one is too general. Labda ungetudadavulia ni wanafiki na wabinafsi kivipi? Ikiwezekana tupe hata kamfano cha ulichokiexperience in real life situation.Chakudiscuss kama kweli wa TANZANIA NI WA BINAFSI NA WANAFIKI?
WEWE UNAIONAJE HIYO?