Mjasiriamali Mh. Diallo nakupongeza kwa kuanzisha Sahara Media Group wamiliki wa Star Tv na Radio Free Afrika. Kampuni hii inaonekana ina wafanyakazi wengi sana, nimeshuhudia leo wakituma salamu za Krismasi.Hongera kwa kuajiri watanzania wenzako. Nilichoshanga ilikuwaje kijana mdogo tena wa kutoka Kaskazini kwa wachaga Mh. Kiwia wa CHADEMA akakubwaga katika kinyanganyiro cha ubunge wa Ilemela.