bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
Mimi nilikuwa nafurahishwa sana na utendaji wa waziri agrey mwanri tamisemi,mpaka nikafikia hatua kusema na kuamini kama baraza la mawaziri litavunjwa saizi,basi awe waziri mkuu kwa sababu hajui kutafuna maneno tatizo akiliona.lakini nimegundua kuwa sehemu zote katika ziara zake anakopita amegundua matatizo/kasoro nyingi hasa ubadhirifu katika miradi mbalimbali ya serikali.mimi nachoka na kauli zako tu hasa unapotakiwa kuchukua hatua unasema "niandikie ripoti niipate ofisini kwa mara moja-utakuwa na ripoti ngapi ofisini kwako?kwa nini usiwawajibishe ili wengine wajifunze kutokana na adhabu hizo?kwa mfano kilolo umeagiza ukasanyiwe vyeti vya engineer uletewe wizarani ili ufanyie nini?chukua hatua mbwembwe za nini halmashauri karibu zote hali ndio hiyo.