Mgonjwa wa DECI

Nov 11, 2008
782
38
Mgonjwa: naumwa sana
DR: Timu yako
MG: Asernal
DR: Kazi?
MG: nilikuwa Afisa GTV
DR: Akiba unayo?
MG: Yote ipo DECI
DR: Subiri kufa.
 
Back
Top Bottom