figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Baada ya madreva wa daladala za kigogo mburahati kugoma kutokana na ubovu wa barabara, hatimae serikali ameanza kurekebisha sehemu korofi.
Madreva wameapa hawataingiza magari yao barabarani hadi barabara yote ilekebishwe.wanasema magari yao yamekuwa yakiharibika sana injini.mgomo umeingia siku ya pili.mia
Madreva wameapa hawataingiza magari yao barabarani hadi barabara yote ilekebishwe.wanasema magari yao yamekuwa yakiharibika sana injini.mgomo umeingia siku ya pili.mia