Mgomo wa madereva ndani ya ngorongoro conservation

wasaimon

R I P
Oct 6, 2010
220
45
Kuna mgomo wa madereva ulioanza toka saa nne asubuhi leo mpaka muda huu hakuna gari yeyote ya utalii inaweza kupita eneo la Oldupai, mpaka sasa magari zaidi ya 100 yameshindwa kuendelea na safari.

Chanzo cha mgomo huo ni gari moja ya utalii limeanguka leo asubuhi likiwa na wageni, watu wa Hifadhi ya Ngorongoro walipewa taarifa lakini hawajajitokeza ktk kutoa msaada, madereva wa utalii wamekasirishwa na hicho kitendo.

Sababu kubwa ya ajali hiyo kutokea ni ubovu wa barabara na hii barabara inamilikiwa na wao (Ngorongoro Conservations Area) na tambua kila gari na abiria wake wanalipia transist ambayo kwa kila mgeni ni $ 50 na Mtz ni Tsh 1500/= gari ndogo lenye 2000kg Tsh 10,000/=, gari zaidi ya 2000kg - 7,000kg Tsh 20,000/= wanahoji kama kila gari na kila mwanadamu anepita tu analipa pesa iweje washindwe kutengeneza barabara.

Na ukipata ajali ndani ya eneo lao faini ni Tsh 50,000/= kwa gari lenye kg 2000 na zaidi ya 2000kg - 7000kg faini yake ni Tsh 100,000/=
 
Sasa wageni wa watu wamewalipa kina nani? Wapeleke wageni maana hawajaletwa na serhkali, wageni wametoka mbali kuja kuenjoy na wamelipa pesa nyingi kwenye kampuni zao waache ujinga hao madereva.
Na ndio maana kuna sherha inawataka kuwa na gari ambayo ni 4WD, hawaelewi maana yake? Suala la hilo gari kupata ajali watalalamika wenye kampuni au kwa umoja wao wapeleke malalamiko kwenye mamlaka.
My concern ni hao wageni wanakuja kwa ratiba na wanakuwa na fixed budget sasa sijui wakichelewa ndege watawaongezea extra fee!
 
Ni sehemu ya utalii! Tena wanafurahi kuona hivi maana picha zinapigwa kwa sana na videos, kampuni ya NYANZA feat spika wa kabla ya sita wamepalilia barabara kipande kifupi kwa 10Billion just kupalilia! Hao wageni we naona unawathamini thaaaaaanaaa eeeh!
Je sisi tunaopoteza muda mwingi hivi kuwa na li CCM nani atatulipa muda wetu?

Sasa wageni wa watu wamewalipa kina nani? Wapeleke wageni maana hawajaletwa na serhkali, wageni wametoka mbali kuja kuenjoy na wamelipa pesa nyingi kwenye kampuni zao waache ujinga hao madereva.
Na ndio maana kuna sherha inawataka kuwa na gari ambayo ni 4WD, hawaelewi maana yake? Suala la hilo gari kupata ajali watalalamika wenye kampuni au kwa umoja wao wapeleke malalamiko kwenye mamlaka.
My concern ni hao wageni wanakuja kwa ratiba na wanakuwa na fixed budget sasa sijui wakichelewa ndege watawaongezea extra fee!
 
Ni sehemu ya utalii! Tena wanafurahi kuona hivi maana picha zinapigwa kwa sana na videos, kampuni ya NYANZA feat spika wa kabla ya sita wamepalilia barabara kipande kifupi kwa 10Billion just kupalilia! Hao wageni we naona unawathamini thaaaaaanaaa eeeh!
Je sisi tunaopoteza muda mwingi hivi kuwa na li CCM nani atatulipa muda wetu?

Mie naongea kama mfanyabiashara na siongelei siasa zako za cdm au ccm hazinihusu, we endelea kutoa povu tu wakati wenzio wanatengeneza hela.
My concern kwa hao wageni ni kubwa coz wamelipa pesa kwenye makampuni binafsi ili wapelekwe kuenjoy, we unadhani Arusha kuna mzunguko wa dollar kwa sababu gani? I bet wewe kila unachofikiria ni unawaza cdm na ccm, wakati mwingine jaribu kuwaza kibiashara, najua watu wengi wanapenda kuajiriwa kama wewe, usipoteze muda kufikiria siasa kila wakati bob! Think!
Kuwathamini wageni kama wamekulipa it is a must, suala la uzungu, ujapani, uarabu wao sio tatizo as long wamekulipa bro au hujui wao hawahusiki hapo? Narudia tena, jifunze kufikiria mambo mengine sio kila saa unawaza siasa itakutia umasikini na utakufa kwa stress while Tanzania is a land of opportunity!
 
Ni sehemu ya utalii! Tena wanafurahi kuona hivi maana picha zinapigwa kwa sana na videos, kampuni ya NYANZA feat spika wa kabla ya sita wamepalilia barabara kipande kifupi kwa 10Billion just kupalilia! Hao wageni we naona unawathamini thaaaaaanaaa eeeh!
Je sisi tunaopoteza muda mwingi hivi kuwa na li CCM nani atatulipa muda wetu?

Unaongelea 10 bilion imeliwa, its ok kukasirishwa ila unapogoma unamgomea nani? We dereva na njaa yako unajua mwenye kampuni ametoil kiasi gani mpaka kuwashawishi hao wageni waje bongo na sio kenya au namibia?
Kama barabara mbovu narudia tena kukukumbusha kuwa magari yote ya tours kisheria yanatakiwa kuwa 4WD sasa wewe endelea kulalamikia barabara na ccm yako, kama hela ishaliwa we peleka wageni tengeneza pesa yako halali, period.
Ila naweza kuwa naongea in parables ukawa upeo wako hauwezi kutengua methali.
 
Sasa wageni wa watu wamewalipa kina nani? Wapeleke wageni maana hawajaletwa na serhkali, wageni wametoka mbali kuja kuenjoy na wamelipa pesa nyingi kwenye kampuni zao waache ujinga hao madereva.
Na ndio maana kuna sherha inawataka kuwa na gari ambayo ni 4WD, hawaelewi maana yake? Suala la hilo gari kupata ajali watalalamika wenye kampuni au kwa umoja wao wapeleke malalamiko kwenye mamlaka.
My concern ni hao wageni wanakuja kwa ratiba na wanakuwa na fixed budget sasa sijui wakichelewa ndege watawaongezea extra fee!

We unafikiri wamepelwkwa kwa vitz???ubovu wa barabara ni jukumu la makampuni ya tours?
 
Sasa wageni wa watu wamewalipa kina nani? Wapeleke wageni maana hawajaletwa na serhkali, wageni wametoka mbali kuja kuenjoy na wamelipa pesa nyingi kwenye kampuni zao waache ujinga hao madereva.
Na ndio maana kuna sherha inawataka kuwa na gari ambayo ni 4WD, hawaelewi maana yake? Suala la hilo gari kupata ajali watalalamika wenye kampuni au kwa umoja wao wapeleke malalamiko kwenye mamlaka.
My concern ni hao wageni wanakuja kwa ratiba na wanakuwa na fixed budget sasa sijui wakichelewa ndege watawaongezea extra fee!

Kiasi fulani hongera!,lakini pia pole sana kama wewe mi mfanyabiashara usiyethamini mali yako
Vilevile pamoja na raslimali watu,
*kwa nini usijiulize binafsi kwa nini NCAA wanakuharibia biashara kwa kutotengeneza barabara?
*Je barabara ingekuwa nzuri hawa madereva wangefikia hatua hiyo?
*Umewahi kuja binafsi na gari lako ukiwa unaendesha umebeba familia yako huku porini? Kama ni ndio,je mke wako alijisikiaje?
*Kwa taarifa yako ni haohao wageni ambao hufikioa mahali wakawashangaa madereva wao jinsi wanavyovumilia kufanyia kazi katika mazingira magumu kiasi hicho.
*Kama wewe ni mfanyabiashara unapaswa kumlaumu rais na serikali yako kwa ufisadi wa NCAA wanaotutangazia kila uchao magazetini.
*Badala ya kutangaza utalii kwenye chanel kama Animal planet na National Geographic, wao wanatangaza utalii kwenye CNN utafikiri ni tukio la vita.

Baada ya hayo machache tafakari na chukua hatua........
 
Unaongelea 10 bilion imeliwa, its ok kukasirishwa ila unapogoma unamgomea nani? We dereva na njaa yako unajua mwenye kampuni ametoil kiasi gani mpaka kuwashawishi hao wageni waje bongo na sio kenya au namibia?
Kama barabara mbovu narudia tena kukukumbusha kuwa magari yote ya tours kisheria yanatakiwa kuwa 4WD sasa wewe endelea kulalamikia barabara na ccm yako, kama hela ishaliwa we peleka wageni tengeneza pesa yako halali, period.
Ila naweza kuwa naongea in parables ukawa upeo wako hauwezi kutengua methali.

Hakika kama identity yako ingekuwa open,bila shaka ungepata shida sana kwa kauli yako isiyo ya kiungwana kwa madereva wetu, kwamba "NJAA ZAO"
*Lakini kumbuka kwamba Tour operator,kama mfanyabiashara anamtegemea sana dereva wa utalii,nikiwa na maana kwamba ni dereva huyohuyo na njaa zake ambaye hukaa na mtalii hu sika {ingawa wewe umemuita mgeni ilhali huwa haji kwako bali kwa nyumbu} kwa 100% ya ziara yake nchini na mafanikio ya safart hufanikishwa na dereva pale anapofanikisha kuwapeleka porini salama na kurudi wakiwa wameridhishwa na huduma zake zote,akiwa si dereva tu,bali guide pia.na wewe mfanyabiashara huishia kukusanya noti na kumbusu mkeo mjini,wakati huyu dereva na mgeni wako wakirukaruka kwenye mashimo huko ngorongoro

Je.? Hiyo ndiyo hospitality unayotaka kutuaminisha tukuamini wewe mfanyabiashara wa kitanzania?
Unafikiri uzembe huu ungekuwa kwa majirani zetu kenya wangeuvumilia kwa kiasi hicho?
Je umejaribu kwenda nchi zingine jirani kama rwanda ukauona utalii wao wanavyoujali?

Mimi najaribu kuisoma taswira yako na sipati jibu zaidi ya kukuweka kundi la wale waliowahi kutwambia watanzania tule majani lakini ndege ya mkuu iletwe.wewe kwako pesa ndio kila kitu,no matter imepatikanaje.
Nalazimika kuamini...
WEWE NI PAKA MWEUSI ANAYEMFUKUZA PANYA MWEUSI KATIKA USIKU WA GIZA!
 
Back
Top Bottom