Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Katika taarifa ya habari ya Radio Clouds ya saa 12 jioni, Kituo cha msaada wa sheria na haki za binadamu (LHRC) kimetoa tamko kali kuhusu mgoma wa madaktari. Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi wake Mama Helen Kijo-Bisimba ambaye amesema kuwa serikali inatakiwa kumaliza huu mgogoro mara moja. Na kama serikali haiwezi kutatua hili tatizo basi ijiuzulu mara moja. Amesema endapo ikifika kesho na hili tatizo halijatatuliwa, basi watalazimika kuitisha maandamano.Source: Clouds FM!!