Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Hivi unajua kwa nini majority of JF members ( ambao ki-msingi ni CDM Caucus) wanachagiza mgomo uendelee? Ni issue ya uchaguzi na manufaa ya kisiasa!
Mgomo ukiendelea, media zikaupa coverage, lawama zikaelekezwa kwa serikali na chama chake; huu ni mtaji mkubwa wa kisiasa na ni main campaign agenda kule Arumeru.
Wengi watajifanya kuponda hapa, lakini this is their main wish! Mwenye akili na aelewe!
Mgomo ukiendelea, media zikaupa coverage, lawama zikaelekezwa kwa serikali na chama chake; huu ni mtaji mkubwa wa kisiasa na ni main campaign agenda kule Arumeru.
Wengi watajifanya kuponda hapa, lakini this is their main wish! Mwenye akili na aelewe!