Mgomo TBL DSM

Kahema

JF-Expert Member
May 21, 2010
202
43
Mgomo wa wafanyakazi kiwanda cha bia dsm(tbl) umeanza leo hii asubuhi. issue kubwa ni kwamba wafanyakazi wanaushinikiza uongozi kuboresha hari yao ya kiamaisha katoka nyanja zote.wanadai wafanyakazi wanaishi katika hali ngumu huku kampuni ikipata faida kubwa kila mwaka. wanasema kinachoonekana nje ya kampuni hakiashirii hari halisi ndani ya kampuni. more to fall.
 
Where is the reason for starting the thread? TBL matters are nowdays solved in JF?
 
Are you on your senses?<br />
Is JF for taking actions or informing?<br />
This is a very useful thread to 70% of my fellow-sippers!...huh!...Where the hell do you think we'll get the Castle-Light-thang this evening?
<br />
<br />

Mwambie huyo...
 
sasa hii information PJ, TB na rejao inaitumiaje? nashauri muweke stock home afu jioni unajibebea kwenye ka-rambo ukakae bar na kuji-enjoy. poleni sana na masaibu!
 
sasa hii information PJ, TB na rejao inaitumiaje? nashauri muweke stock home afu jioni unajibebea kwenye ka-rambo ukakae bar na kuji-enjoy. poleni sana na masaibu!
Baada ya kupata hii information imebidi niagize stock ya kutosha!
Bila kugonga maji ya ilala, sipati usingizi kabisa!
 
hahaha! mmedata nyie! na kitimoto ewura waliagiza kishushwe bei! wekeni na stock home kama mna majenereta ya kuendesha deep freezer,lol!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Mwambie huyo...
<br />
<br />
jamani mwaacheni tu huyo jamaa!imagine leo kaaga home kwa miluzi mingi kuwa anawahi kazini,kufika getini kazuiwa kuingia,halafu kwa kiasi kikubwa maslahi yanayodaiwa yeye ni msimamizi,yuko kwenye gari liko silence kachanganyikiwa,ghafla anapigiwa simu na jamaa yake eeeh bwana vp?huko kwenu kuna nn?nimeona kwenye jf!huyoo kwenye blackberry yake ya zawadi anakutana na hili.........
 
hahaha! mmedata nyie! na kitimoto ewura waliagiza kishushwe bei! wekeni na stock home kama mna majenereta ya kuendesha deep freezer,lol!
Kitimoto cha nyumbani hakinogi!
Itabidi tuwe tunaenda na bia zetu kwenye maeneo husika!
 
It beats me that in a country whose major population lives below 1USD, some can unabashedly hail themselves for their boozing tendency. And it's the same group of people who become so vocal and throw disparaging remarks against Kikwete's government once in the red. We should change our minds!
 
hawa wawekezaji washenzi sana wanatumia pesa nyingi sana kwa miradi ya kijamii wakati wafanyakazi wanalipwamishahara midogo saana. Charity begins at home, waanze kuwalipa vizuri wafanyakazi wao halafu baadaye ndo wajue huko nje ya kampuni wafanye nini!!
 
It beats me that in a country whose major population lives below 1USD, some can unabashedly hail themselves for their boozing tendency. And it's the same group of people who become so vocal and throw disparaging remarks against Kikwete's government once in the red. We should change our minds!

Acha kubwabwaja wewe, waambie makaburu wawalipe watanzania mishahara inayokidhi mahitaji uone kama watagoma.

Serikali ya Kikwete haina tofauti na hao makaburu wa tbl, kwani nayo haijaweza kulipa mshahara wa kima cha chini ambacho ni kiwango cha living wage inayokubalika, kwahiyo wote wanakuwa kwenye kapu moja.

Kama kila siku makaburu wa tbl wanajipendekeza kutoa misaada maeneo mbalimbali ilitakiwa image hiyo hiyo ireflect kwa wafanyakazi, hizo pesa wanazotapanya kuna watu wamezitolea jasho, wanatakiwa kuwa wa mwanzo kuzifaidi.
 
Back
Top Bottom