Kuna mgomo unaendelea chuo cha mwenge moshi sasa hivi wanafunzi wako mbele ya jengo la utawala chuoni hapo na wengine geti wakizuia askari wa kutuliza fujo wasiingie kwenye maeneo ya chuo hicho
Nimeongea na Lecturer mmoja hapo chuoni ameconfirm kuwa ni kweli wamegoma kwa sababu ya faculty requirements hawajapewa. wana maandaano ya amani ndani ya chuo ndo maana wamezuia polisi wasiingie chuoni kwani wanasema polisi wakiingia ndo wataanzisha fujo wakati wanachuo hawana mpango wa kuanzaisha fujo. Wamekuwa na mazungumzo na uongozi wa chuo tangu wiki ilopita!
polisi wanavihere sana wakati watu wako kiamani wanafuata nini ? badala na wao wakaangalie namna ya kugoma kuendelea kujihelp kwa foleni kwenye makambi yao au wenyewe hawaoni ni udhalilishaji ukiumwa tumbo la kuhara mpk watoto wa jirani wanajua kwani unapita na mkopo wa chooni mara kwa mara hivyo wanakwambia pole baba mura amkeni mdai haki si kuzuia watu kutimiza haki zao za kikatiba za kushinikiza kupewa haki zao
Mgomo umekwisha walikuwa ni wanachuo wa mwaka wa tatu (education) na walikuwa wakidai hela za faculty requirements ambazo ni 60000 kwa kila mwanafunzi, walikuwa wamecheleweshewa ila wamepewa mwendo wa saa tano hivi. Chuo kimebidi kutumia administration fund kwa ajili hiyo kwani serikali haijatoa pesa za madenti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.