Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,506
- 41,016
Taarifa nilizopokea usiku huu (majira saa 5: 23) na kuthibitishwa na
Mbunge wa Chadema Jimbo la Ilemela Haines Kiwia, zinadai Mgombea
Udiwani kwa tiketi ya CCM Jacksoni Masamaki ametiwa mbaroni akiwa
katika zoezi la kugawa Pombo ili kuwashawishi wapiga kura. Imeelezwa
kwa sasa mgombea huyo amepelekwa kituo cha polisi Kirumba. Nitaendelea
kufuatilia kwa kina.
Source: Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi, Kanda ya Ziwa
Mbunge wa Chadema Jimbo la Ilemela Haines Kiwia, zinadai Mgombea
Udiwani kwa tiketi ya CCM Jacksoni Masamaki ametiwa mbaroni akiwa
katika zoezi la kugawa Pombo ili kuwashawishi wapiga kura. Imeelezwa
kwa sasa mgombea huyo amepelekwa kituo cha polisi Kirumba. Nitaendelea
kufuatilia kwa kina.
Source: Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi, Kanda ya Ziwa