Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
Hao ni wahuni wa Pale Igunga, jamaa zake Dovutwa
Mkuu, yule jamaa ni nomaa!!
Yani anasema vijana hawana ajira, wanaota jua tuuu kama solar panels!!!!
Halafu eti..........kuna msela mmoja anasema kinywaji mjinunulie wenyewe, chips zipo paleeeee!!!! kulaleki!!!