Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Mgombea ubunge jimbo la Bukoba mjini,Bw Kasimbazi amegoma kushiriki katika mdahalo wa TBC baina yake na Wilfred Lwakatare uliokuwa ufanyike jana jumapili mjini Bukoba.Wafanyakazi wa TBC wakiwemo mafundi walikuwa wametua mjini Bukoba lakini mgombea huyo wa CUF akagoma kwa madai kuwa haoni faida itakayopatikana.hata hivyo wadadisi wa mambo wanasema kuwa hiyo ni mipango ya mgombea wa CCM Balozi Kagasheki ambaye chama chake kilikwisha wazuia.inadaiwa kuwa kagasheki alihofia uwepo wa mdahalo huo kwani umegemsaidia lwakatare kujiimarisha kisiasa zaidi.Chanzo cha Habari hizi niredio k