Mgogoro wa Tz vs Malawi: Msimamo wa Kambi ya Upinzani Tanzania

Nakubaliana nawe, ila sema tu mtizamo wangu ni lile la umuhimu wa kuweka formality ya consent kutoka vyama vya upinzani. Mi nionavyo inaweza hata ikawa na impact ya kuwatia moyo serikali kwa upande mmoja, lakini pia kuwapa signal waliopo upande wa pili kwamba katika hili wanashindana na taifa lote kwa ujumla wake, na siyo kipande kidogo cha taifa kama ambavyo wanaweza kuwa pengine wanawaza.

Kimsingi uko sawa. Lakini nakusihi ukumbuke serikali inavyokuwa na kigugumiizi kuukubali ushauri mzuri uunaotolewa na kambi ya upinzani. Ni vizuri kuonesha kimataifa mshikamano wetu kama Taifa, lakini hili nahisi likisemewa na kila chama, wengine hawana simile wataanza kushinikiza tena kwa maandamano kuchukua hatua. Mi naamni kuna diplomasia ya chini kwa chini itafanyika hasa litakapokuwa jambo hilo linapelekwa kwenye hatua za mwishomwisho kuelekea mstari wa mbele. Hapo utasikia tamko la kambi rasmi ya upinzani!
 
Kimsingi uko sawa. Lakini nakusihi ukumbuke serikali inavyokuwa na kigugumiizi kuukubali ushauri mzuri uunaotolewa na kambi ya upinzani. Ni vizuri kuonesha kimataifa mshikamano wetu kama Taifa, lakini hili nahisi likisemewa na kila chama, wengine hawana simile wataanza kushinikiza tena kwa maandamano kuchukua hatua. Mi naamni kuna diplomasia ya chini kwa chini itafanyika hasa litakapokuwa jambo hilo linapelekwa kwenye hatua za mwishomwisho kuelekea mstari wa mbele. Hapo utasikia tamko la kambi rasmi ya upinzani!


Nimekusoma. Hebu tuwe na subira tuone litazuka lipi
 
Nafikiri wakati wa kuapishwa Rais ndiye pekee anayewajibika kulinda na kuitetea nchi na mipaka yake na ndiyo maana anakuwa Amiri Jeshi Mkuu. Katika hili suala naona rais hajatumia nafasi yake ipasavyo.
 
Ebo...! Sasa CDM wachangie mambo ya ulinzi na usalama wao wana majeshi? Acha kufikiri kwa kutumia masaburi!

Hivi kamanda unaelewa unachosema? Tanzania tayari tunalo jeshi hakuna aliyeombwa kuchangia askari tunataka kauli zao kama viongozi

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Wanachotaka wao Ni kutawala tu inaonekana hawajali hata wakiingia madarakani wakute mikoa yote imemegwa wamebaki na mkoa hata Wilaya, tarafa, kata Au hata kijiji wao watatawala

aisee inaonekana akili yako kama ya m..kwe..re
 
Wapo busy na M4C mambo yenye kugusia usalama wa taifa hilo hawalijui; kama jambo halina maslahi kwao kisiasa hutawasikia; uliwasikia kwenye masahibu ya Dr. Ulimboka na Mwangosi kwasababu hoja hizo sina maslahi kwao. Chama. Gongo la mboto DSM
Povu la nini? Iwapo huridhiki si uende mahakamani?
 
Back
Top Bottom