wanasema ni uchakavu wa mitambo...
hizi ni hujuma tu.
ili wateja waone umuhimu wao na sio wajibu wao.
........... Ili wateja wao waone umuhimu wa Prof Muhongo kwenye Wizara.
watanzania bhana kila kitu mnalalamika na wakati vingne vinatatulika.dogo nunua sola ya mil3 hutakuja waza maswala ya umeme wa mgao.
watanzania bhana kila kitu mnalalamika na wakati vingne vinatatulika.dogo nunua sola ya mil3 hutakuja waza maswala ya umeme wa mgao.
watanzania bhana kila kitu mnalalamika na wakati vingne vinatatulika.dogo nunua sola ya mil3 hutakuja waza maswala ya umeme wa mgao.