BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,720
- 6,528
Kwa kifupi Tanzania ndio pekee ina mgao wa umeme kwa sasa.Kenya walikuwa nao kipindi cha ukame ila baada ya masika mgao ukaisha na hadi leo hawana tena mgao. Uganda hakuna kitu kama hicho, Zambia nao walikuwa nao ila masika ilijaza bwawa lao na kwa sasa hawana mgao.
Tanzania haijalishi kuna Masika,Kiangazi au Elinino, migao iko pale pale, na sisi wajinga tuko Busy na kuwalamba watawala miguuu.
Ukipita mto pangani kipindi hiki unafurika maji balaaa, ila unaabiwa hayaingii bwawa la nyumba ya Mungu, sasa maji yale yanapotelea wapi?
Huu uhuni usingewezekana wakati wa JPM, unawezekanatu kipindi hiki.
Tanzania haijalishi kuna Masika,Kiangazi au Elinino, migao iko pale pale, na sisi wajinga tuko Busy na kuwalamba watawala miguuu.
Ukipita mto pangani kipindi hiki unafurika maji balaaa, ila unaabiwa hayaingii bwawa la nyumba ya Mungu, sasa maji yale yanapotelea wapi?
Huu uhuni usingewezekana wakati wa JPM, unawezekanatu kipindi hiki.