Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
- Thread starter
- #21
Bujibuji sasa iko ganga toka Bombay.
India soka kusney, how come mganga wa mpira atokee kusiko na mpira?
Bujibuji....mganga hawezi kutoka Ulaya, na wa waganga wa Africa ni matapeli
Ktk hiyo dua, mganga alisema 50-50 na ikawa kweli(Droo) na akamtaja na Messi kuwa hatofunga goli na ikawa Kweli
mpaka Messi amekosa na Penalt !!!
Last edited by a moderator: