Chama Cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA kinajaribu kuutambulisha mfumo wa Majimbo kuwa yamkini ndiyo majibu ya ustawi wa jamii yetu, binafsi nakubaliana nao tena naupenda sana kama ilivyo kuwa wakati wa manyang'au wa kizungu tulikuwa na mfumo huo. Shida ina kuja wahafidhina kuupinga kwa nguvu kuwa utatugawa ila kuna nchi zimefanikiwa na zina matatizo makubwa ya ubaguzi NIGERIA na KENYA zimefanikiwa na sasa zinasitawi vizuri sana. CHADEMA sasa wana sera ya hivi tunafikiri ni mzuri kwa mazingira yetu? maana ugatuzi huu wa madaraka unaleta maendeleo mapema kipimo KENYA imefanya vizuri sana, sasa tusemezane ni mzuri au utaleta bias miongoni mwa Majimbo ambayo hayana rasmali na sijui kama yapo yako kumi bara na visiwani na yatafanya kazi vizuri kwenye mfumo wa serikali moja. Ni mawazo tu wakuu kwa upeo wangu wa UPE Alamuski
Kweli umejitambulisha vizuri kuwa wewe ni UPE......hii nchi haitaweza piga hatua kuwa na watu wafinyu wa akiri kama wewe...... Topic yako yenyewe ni biased na inalengo hasi...... Si ni afadhari hao Chadema wamekuja na soln ya kile umeshindwa.......