Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Hata ikibaki jeshini sioni tatizo aisee!
unataka kusema umehama kwa magufuli gafla au ?
Hata ikibaki jeshini sioni tatizo aisee!
unataka kusema umehama kwa magufuli gafla au ?
Sumaye alikuwa ni PM
Lowassa alikuwa ni PM.
Ukawa tulikuwa tunauchukia mfumo wa serikali ya ccm...ambapo ukimtaja mtendaji mkuu unamuongelea waziri mkuu.
Ule ukombozi dhidi ya mfumo ndio huu??
Utawatosa wewe, lakini SISI tutawapa hivyohivyoWanasiasa wanatufanya mabwege sana.
Sioni jipya zaidi ya uroho wa madaraka tu.Wale tuliowachukia na waliounda mfumo huu dhaifu na wa kimagumashi ndio hao leo wanaokuja kujidai wanasaidia mabadiliko.
Wale wale waliotupigia na kutuulia ndugu zetu leo hii wanajidai wanasaidia ukombozi.
Hii ni big joke yaani ni kama vile Netanyahu aungane na Abass ili kuwakomboa wapalestina.
Ndio maana watanzania waliukataa mfumo wa vyama vingi kwani wanasiasa wetu ni wasanii.
Ndio maana nchi ilikuwa inayumba kisa kuna vikundi ndani ya ccm venye uroho wa madaraka.
Dawa yao ni kuwatosa tu.
Walishindwaje kuwatumikia wananchi miaka 12 iliyopoita halafu waweze leo?
Pesa imenunuwa utu.
Chadomo wamekuwa watumwa wa Lowassa.
Amma kwa hakika mtumwa haachi asili yake.
Wanasiasa wanatufanya mabwege sana.
Sioni jipya zaidi ya uroho wa madaraka tu.Wale tuliowachukia na waliounda mfumo huu dhaifu na wa kimagumashi ndio hao leo wanaokuja kujidai wanasaidia mabadiliko.
Wale wale waliotupigia na kutuulia ndugu zetu leo hii wanajidai wanasaidia ukombozi.
Hii ni big joke yaani ni kama vile Netanyahu aungane na Abass ili kuwakomboa wapalestina.
Ndio maana watanzania waliukataa mfumo wa vyama vingi kwani wanasiasa wetu ni wasanii.
Ndio maana nchi ilikuwa inayumba kisa kuna vikundi ndani ya ccm venye uroho wa madaraka.
Dawa yao ni kuwatosa tu.
SemaOil Chafu ina tabia ya kung'ang'ania kwenye nguo lakini ni lazima imwagwe tu.
Wewe unaonaje?
Tuliyeni dawa ya mchwa iwaingiye!!Ikulu hatufugi ng;ombe waende tu kugawana vyeo ulitumikia taifa kwa miaka kumi lakini bado hukuridhika mbona hampendi kupumzika jamani:mvutaji::mvutaji::mvutaji:
Sumaye alikuwa ni PM
Lowassa alikuwa ni PM.
Ukawa tulikuwa tunauchukia mfumo wa serikali ya ccm...ambapo ukimtaja mtendaji mkuu unamuongelea waziri mkuu.
Ule ukombozi dhidi ya mfumo ndio huu??
Kweli kabisa maccm yanagawana pesa kwenye sandarusi sandaruri naviroba pesa za umma huku mama zetu na wadogo zetu wakifa kwakukosa dawa zakawaida kabisa!!Sumaye aliacha thamani ya hela kwenye ubora wake alafu hana madaraka pale ila CCM tukiwaacha hali ni mbaya zaidi naimani watahalalisha hata RUSHWA hapa nchini dawa ni kuwatoa hata kwa namna yeyote, uwizi wao wa kura wataenda ICC Mwaka huu
Wanasiasa wanatufanya mabwege sana.
Sioni jipya zaidi ya uroho wa madaraka tu.Wale tuliowachukia na waliounda mfumo huu dhaifu na wa kimagumashi ndio hao leo wanaokuja kujidai wanasaidia mabadiliko.
Wale wale waliotupigia na kutuulia ndugu zetu leo hii wanajidai wanasaidia ukombozi.
Hii ni big joke yaani ni kama vile Netanyahu aungane na Abass ili kuwakomboa wapalestina.
Ndio maana watanzania waliukataa mfumo wa vyama vingi kwani wanasiasa wetu ni wasanii.
Ndio maana nchi ilikuwa inayumba kisa kuna vikundi ndani ya ccm venye uroho wa madaraka.
Dawa yao ni kuwatosa tu.
Waliokuwa wapigwa kuwa ni mafisadi leo hii ni malaika, huu ni upumbavu wa hali ya juu na UKAWA WAMETIA FORA.Wanasiasa wanatufanya mabwege sana.
Sioni jipya zaidi ya uroho wa madaraka tu.Wale tuliowachukia na waliounda mfumo huu dhaifu na wa kimagumashi ndio hao leo wanaokuja kujidai wanasaidia mabadiliko.
Wale wale waliotupigia na kutuulia ndugu zetu leo hii wanajidai wanasaidia ukombozi.
Hii ni big joke yaani ni kama vile Netanyahu aungane na Abass ili kuwakomboa wapalestina.
Ndio maana watanzania waliukataa mfumo wa vyama vingi kwani wanasiasa wetu ni wasanii.
Ndio maana nchi ilikuwa inayumba kisa kuna vikundi ndani ya ccm venye uroho wa madaraka.
Dawa yao ni kuwatosa tu.