Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Naibu katibu mkuu wa uvccm bara bwa Mfaume kizito, akiongea na vyombo vya habari leo amesema, nanukuu " Chama cha mapinduzi kikitetereka, na tanzania ( Watanzania ) watatetereka " Mwisho wa kunukuu. wadau, mnaionaje hii..?? source: ITV habari.