Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Nimepata habari toka kwa rafiki yangu kuwa mpiga picha wa ITV - Arusha aliyemtaja kwa jina moja la Abuu anayefanya kazi na Mwanaid Mkwizu alipata ajali jana na kufariki maeneo ya mwanga.
Tunaomba kama kuna mtu wa karibu naye au mtu mwenye habari zaidi atujuze.
Tunaomba kama kuna mtu wa karibu naye au mtu mwenye habari zaidi atujuze.