Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,170
- 12,221
Siyo kilaza kama unavyonidhania rafiki.We Ni kilaza,Sasa kwenda kumkamata mtuhumiwa bila ya kuwa na search warrant, na hati ya kuhozi Mali, hivyo vyote mwisho wa siku kuna sehemu ya kujaza balozi wa eneo husika ambae aliitwa kushuhudia upekuzi, au shaidi mwingine huru,
Kwaiyo hizo dosari mbili tu inatosha kuonyesha kwamba polisi huo unga waliendanao wao wenyewe!
Hata kama huyo kiboko kweli alikuwa anafanya hiyo biashara labda
Katika comment yangu nimeambatisha na mifano hai ya raia waliokamatwa kitaa bila ya hizo nyaraka na mpaka tunavyoongea wapo mkusota.
Labda nikuulize wewe mwenye upeo, raia yeyote hawezi kufanya ukamataji kwa kukuta kosa likitendwa na mhalifu?
Tukimaliza kulijadili hili, turudi kwenye hii hukumu ya marejeleo.
Kwanza walifungwa kwa hakimu wa kwanza baada ya kujiridhisha kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo bila kuacha shaka yoyote.
Sasa kuja kumtoa kisa serch warrant, hapana hapo lazima kuna loop holes za kisheria bhana.