Hata yeye mwenyewe pia ni msukuma, kwao shinyangaHana lolote huyo genye zinamuhangaisha na wasukuma wamechanganyikiwwa amewaona washamba na wajinga akaona heri akawadanganye
Kwa hiyo ameamua kuwadanganya washamba wenzake?mfalme amesomea shule ipi huko shinyanga?Hata yeye mwenyewe pia ni msukuma, kwao shinyanga
komando kinjekitile ngwale
yupo wrong from the beginning,Hairuhusiwi mwanamke kuwa mchungaji,muhubiri,muinjiristi wala shemasi hawajawahi kuwepo kwenye biblia,kwa lugha nyingine mwanamke haruhusiwi kusimama madhabahuni na akawafundisha wanaume,wanawake sababu yeye si kichwa,yeye alidanganywa mwanzoJamani nawasalimia wote kwa kila mtu Na imani yake.
Kule jijini mwanza kumeibuka mwanamama mmoja anajiita Mfalme Zumaridi na Ana kanisa au sijui niseme nini, maeneo ya Nyegezi. Yeye haamini ktk Biblia au Quran yaani ni shidaa .Na Ana watu wengi kinoma Na wafuasi wake wanamsujudu na mpaka wengine wamekua Na alama Kama ya sigda.ukifuatilia clips zake utashangaa ya ni upinga kristo tupu. Wakazi wa Mza na waTz wote tuwe makini Na huyu mtu.
Download link Youtube mp3: HIKI NDICHO ALICHOSEMA MFALME ZUMARIDI
Manabii waliokuwepo,walikuja kwa ajili ya kuutambulisha ulimwengu juu ya uwepo wa Mungu.Walimaliza kazi yao na walirudi kwenye ufalme wa Mungu.Hakuna tena unabii mwingine.Hawa manabii wote wa sasa ni wapiga dili tu,wala siyo wachamungu.Ukiwafuatilia mambo yao utapatwa mshangao wa hali ya juu.Mfalme wa kike. Hapo tu jua unapigwa.
mfalme wavkike na nabii wa kike sio manabii wa kike. kuwa makini mkuu utaliwaManabii waliokuwepo,walikuja kwa ajili ya kuutambulisha ulimwengu juu ya uwepo wa Mungu.Walimaliza kazi yao na walirudi kwenye ufalme wa Mungu.Hakuna tena unabii mwingine.Hawa manabii wote wa sasa ni wapiga dili tu,wala siyo wachamungu.Ukiwafuatilia mambo yao utapatwa mshangao wa hali ya juu.
Wote matapeliDuh.....Mpaka sasa nimeshindwa kujua yupi ni Nabii wa ukweli katgijka hawa tunaowaona
Akili za walokole wanazijua wenyeweKwanza umetumia vigezo gani kuita mrembo!!!,mama mtu mzima huyo anajichubua makeup ya njano kama binzari mikono myeusii.
Halafu hata hao samaki aliowazoa na kuwa wafusi wake sijui wana akili gani??hivi majitu yakoje lakini.hapa ndio huwa naona kweli shetani kazi yake ni nyepesi mno.
Kwenu wapi weye? Mfalme tena mwanamume wa wanaume aolewe tena!!! Labda uliza hivi; Ameoa?? Mke wa mfalme huitwa "Malkia". Hata yule wa nyuki huitwa malkia ndo maana hutaga mayai baada ya kupandwa na madume nyuki. Sasa weye wataka "Mfalme" aoulewe?? Maajabu gani unatuletea.Samahani huyo mungu mtu ameolewa?