naona kumekuwa mada nyingi dhidi ya warabu ,mwangalie mfalme wao kabila lake ni al. busaid. kwa waliowahi kuishi kigoma ujiji kuna sehem inaitwa busaid na huko ndiko walipo toka mababu zake. Ukienda oman kuna mji unaitwa salalah huko utakuta watu wenye asili ya tanzania i mean black kama mnavyowaita waarab weupe hao wanamaisha mazuri kuliko hata wanaoishi muscut, na wao wanaaminika kuwa na utajiri 58% ya utajiri wa oman je swali kwa wanaowalani waarab lini tv yoyote ilionesha wanabaguliwa,na asieamini kama mfalme wa oman ni black unaweza tafuta picha yake kwenye google