Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,776
Mbona kama wewe ndiye mwenye low IQ
Umemsifia hata huko kumuita ni mwenye low IQ. Huyo ni imbecile.
Mbona kama wewe ndiye mwenye low IQ
Mahaba yako kwa Chadema usihamishie kwangu, tukutane Jtatu nitakuwa getini kumpokea Meya Mwita na uone navyojua kurembua macho😂😂MHE.Mwita bado ni Meya kihalali pamoja na mbinu chafu za Kimakama kwa maelekezo toka juu! Punguza mahaba na CCM watakuja kugeuza asusa.....Ohoo!!.We endelea kujilegeza na kurembua mimacho!So try to be vigilant and careful!
Huyo jamaa sijui Mwita mbishi sana, na hapo hatujawapa madaraka makubwa bado, hivyo kila siku wanazidi kutudhirihishia kwamba chadema ni wrong people kuongoza hii nchi.
Low IQ!
Wakimwondoa watafanikiwa kula zile pesa SImon Group alizonununa hisa za UDA Kinyemela.SHida ndo iko hapo hasaWaliomuondoa ndio wanaomlipa, nahisi watakataa kumlipa mshahara kwa kisingizio cha kwamba kasha fukuzwa.
Lakini niulize, kuna faida gani kumtoa leo? na kunahasara gani wakimuacha akamaliza muda wake?
Wanaiga Mwenyekiti wa Chama aliyengangania uenyekiti kwa miaka 20 sasaHuyo jamaa sijui Mwita mbishi sana, na hapo hatujawapa madaraka makubwa bado, hivyo kila siku wanazidi kutudhirihishia kwamba chadema ni wrong people kuongoza hii nchi.
Low IQ!
Mahaba yako kwa Chadema usihamishie kwangu, tukutane Jtatu nitakuwa getini kumpokea Meya Mwita na uone navyojua kurembua macho😂😂
WANA CHADEMA, matusi ndio asili yenu na jeuri za kipumbavu ndio jadi yenu.Wananchi tunawajua hivyo.Na m'mbwa ukimjua jina lake hakupi taabu.Mtapata taabu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana wewe ni miongoni mwa watu wachache sana wanaojitambua kuwa wana LQ na wanaweza wakajitangaza bila aibu!Huyo jamaa sijui Mwita mbishi sana, na hapo hatujawapa madaraka makubwa bado, hivyo kila siku wanazidi kutudhirihishia kwamba chadema ni wrong people kuongoza hii nchi.
Low IQ!
Wanaiga Mwenyekiti wa Chama aliyengangania uenyekiti kwa miaka 20 sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa sijui Mwita mbishi sana, na hapo hatujawapa madaraka makubwa bado, hivyo kila siku wanazidi kutudhirihishia kwamba chadema ni wrong people kuongoza hii nchi.
Low IQ!
pumbaaaavu zako analysis za shule gani hizo? mandela angekuwa na akili kama zako leo kaburu angeondoka? nyerere angekuwa na usaha kama uliojaaliwa wewe kichwani unadhani leo nchi yake hii ya tz ingekuwa hapa ilipo? yani umuonee mtu aondoke ofisini kirahisi kisa wewe na wajinga wenzio muwape nafasi ya kuongoza nchi baadae?Huyo jamaa sijui Mwita mbishi sana, na hapo hatujawapa madaraka makubwa bado, hivyo kila siku wanazidi kutudhirihishia kwamba chadema ni wrong people kuongoza hii nchi.
Low IQ!
Huyo jamaa sijui Mwita mbishi sana, na hapo hatujawapa madaraka makubwa bado, hivyo kila siku wanazidi kutudhirihishia kwamba chadema ni wrong people kuongoza hii nchi.
Low IQ!
It's more of a political move ... yes, politically every thing countsWaliomuondoa ndio wanaomlipa, nahisi watakataa kumlipa mshahara kwa kisingizio cha kwamba kasha fukuzwa.
Lakini niulize, kuna faida gani kumtoa leo? na kunahasara gani wakimuacha akamaliza muda wake?
Wafanye jitahada za kununua mjumbe 1 tu ili akidi itimie.Nyinyi watetezi wa CCM lini mtaacha tabia ya kuvuta Bangi ghetto kwa Le mutuz na cyprian Musiba kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
Unaonekana ww ni T.O wa tanzaniaHuyo jamaa sijui Mwita mbishi sana, na hapo hatujawapa madaraka makubwa bado, hivyo kila siku wanazidi kutudhirihishia kwamba chadema ni wrong people kuongoza hii nchi.
Low IQ!
Kwan anayetukana mawaziri wapumbavu nae ni chadema?!WANA CHADEMA, matusi ndio asili yenu na jeuri za kipumbavu ndio jadi yenu.Wananchi tunawajua hivyo.Na m'mbwa ukimjua jina lake hakupi taabu.Mtapata taabu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio hopeless moving figure,na wewe ni mnufaika wa dhuluma zinazofanywa na maccm,hakika wewe ni mwana wa shetani alieweka makao pale Lumumba.Huyo jamaa sijui Mwita mbishi sana, na hapo hatujawapa madaraka makubwa bado, hivyo kila siku wanazidi kutudhirihishia kwamba chadema ni wrong people kuongoza hii nchi.
Low IQ!
Waliomuondoa ndio wanaomlipa, nahisi watakataa kumlipa mshahara kwa kisingizio cha kwamba kasha fukuzwa.
Lakini niulize, kuna faida gani kumtoa leo? na kunahasara gani wakimuacha akamaliza muda wake?