Methali na vitendawili hivi..

pilau

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
1,594
448
  1. Simba mwenda pole ....... huyo ni Sharobaro
  2. Asiyefunzwa na mamaye ...... ujue mamaye hajapitia ualimu
  3. Zimwi likujualo .................. Lilikuona sehemu
  4. Chelewa chelewa ........... ukizikusanya utapata fyagio
  5. Hakuna masikoka ... isyo na matope
  6. Mpanda ngai ............... ataota vigimbi
  7. Pruuuu mpaka Macca ....... kaenda kuhiji huyo
  8. Hakuna marefu ........... yasiyokuwa na mapana
  9. Kuku mgeni ............. hufungiwa mpaka azoee
  10. Haba na haba ........... haba mbili hizoooo

.............. kwa leo inatos...........
:bange:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom