- Simba mwenda pole ....... huyo ni Sharobaro
- Asiyefunzwa na mamaye ...... ujue mamaye hajapitia ualimu
- Zimwi likujualo .................. Lilikuona sehemu
- Chelewa chelewa ........... ukizikusanya utapata fyagio
- Hakuna masikoka ... isyo na matope
- Mpanda ngai ............... ataota vigimbi
- Pruuuu mpaka Macca ....... kaenda kuhiji huyo
- Hakuna marefu ........... yasiyokuwa na mapana
- Kuku mgeni ............. hufungiwa mpaka azoee
- Haba na haba ........... haba mbili hizoooo
.............. kwa leo inatos........... :bange: