Amina mkuu asante kwa ushauriHajakosea, bali wewe uko very harsh, kwa hiyo ameshauriwa aitume kwako kwa staili hiyo ili ujumbe ukufike.
Kuupata ushahidi wa kuwa mother ni mchawi ni ngumu, cha msingi kaa na mkeo.Mpe moyo juu ya hilo kwamba ujumbe umeupata na utaufanyia kazi.Isipokuwa, mwambie awe na amani kwa kuwa hata wewe(mleta mada) unauchukia uchawi.
Mwisho wa siku, endelea kusali/kuswali nae(kwa kadri ya imani yenu) pamoja ili aendelee kukuamini zaidi.
Asante mkuu kwa ushauri wako muruaKwanza muonyeshe sms, halafu mwambie akuthibitishie pasi na shakayakuwa mamako ni mchawi, kabla hajajibu muulize kati ya wewe (mwanaume) na mama yake mzazi nani zaidi, kabla hajakujibu mwambie ni mama yake ndiye bora kwake maana damu ni nzito kuliko maji. Kabla hajakujubu mwambie na wewe ni hivyohivyo.
Mwambie kama anataka maisha ya ndoa yaendelee basi aweke mbali imani za ndoto na kishirikina na amtangulize Mungu maana yeye ndie muweza. Mwambie hata wewe ulishaota sio chini ya mara 6 kuwa alishatoa sana mimba ndio maana mimba ya kwanza iliharibika, je na wewe utuhumu kama yeye anavyofanya.
Baada ya hapo funga mjadala na usiujadili tena.
Utamuacha na maswali yasiyo na majibu yakimtafuna na siku akipata nafasi ya kuomba msamaha ndio atatua mzigo wake.
Inawezekana kuna mtu anamfanyia mkeo lakini anavaa sura ya mama yako ili moto uwake zaidi, dunia hii ina watu wabaya kiongozi, hapo tayari mtu keshabisha hodi, maombi yanatakiwa..
Duh mbona huo uzi wa hiv karibuni na inshu ya mtoto ni miezi sita sasa,mbona uzi wangu mnauunganisha sana na uzi wa uganga jmn?Kuna ka uzi kauganga na bihashara isijekuwa umeua mtoto wa tumboni upate Mali nyingii ooooh ITAKUTOKEA PUANI na hapa jf hutokuja maana itakuwa ni aibu japo twatumia fake IDs!
una akili sana.Ukijiona una imani hizi za kishirikina ujue wewe ni masikini na itachukua muda sana kuuaga umasikiniMchawi humjua mchawi mwenzie.
Ndo alitaka auage kwa kwenda kwa mtaalamuuna akili sana.Ukijiona una imani hizi za kishirikina ujue wewe ni masikini na itachukua muda sana kuuaga umasikini