Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hawa wanaodai posho badala ya kudai vitendea kazi kwenye masomo yao huo ni ushawishi wa kijinga tu na jaziba
Hawa wanaodai posho badala ya kudai vitendea kazi kwenye masomo yao huo ni ushawishi wa kijinga tu na jaziba
Hawa wanaodai posho badala ya kudai vitendea kazi kwenye masomo yao huo ni ushawishi wa kijinga tu na jaziba
Hata ukipewa hivyo vitendea kazi kama huna amani ni kazi bure na kumbuka huwezi kuwa na amani kama una njaa!! Hawa vijana wanajifunza udaktari ni lazima wanajua wanadai nini!! Kuwatumia polisi kuzima malalamiko halali ya wananchi ni utawala wa kiwendawazimu which has a propensity of backfiring!
Hawa wanaodai posho badala ya kudai vitendea kazi kwenye masomo yao huo ni ushawishi wa kijinga tu na jaziba
Hawa wanaodai posho badala ya kudai vitendea kazi kwenye masomo yao huo ni ushawishi wa kijinga tu na jaziba
Hata wakiwaadhibu lkn ujumbe umefika mahala pake