anaitwa Emmanuel Mbaule,kwa mwaka mmoja amefanikisha mkakati wa kuwatimua wafanyakazi tisa kwenye redio Kasibante inayomilikiwa na Waziri Khamis Kagasheki.Cv yake inasomeka eti alikuwa kiongozi mzuri hapo Redio Mlimani ya Dar es salaam.Kutimua wafanyakazi hovyo ni sifa au udhaifu ktk uongozi?