Mwananchi wa Kawaida
Member
- Feb 9, 2012
- 65
- 15
Jamani wana JF leo Membe atakuwa itv kipindi cha dk45 so tusikose saa tatu usiku maana ktk highlight anasema eti anawajua wanaofanya njama kuiharibu nchi na siku moja atawalipua,lini??au ndo zile ngonjera zao za nursery school zinazosahaulika na watoto kila wakijaribu kuimba