Jamani tuwe wazi na wakweli...Simba walianza vyema mchezo...but as time goes wakaanza kupotezana kabisa,kwa kweli tunahitaji nguvu ya ziada sana kwa soka letu.Simba hawana stamina,wavivu na hawajipango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.