njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Nimefanikiwa kuona clips za mchezo wa kirafiki kati ya yanga na eagle sc inayoshiriki ligi daraja la nne mkoa wa dsm
Yanga walicheza poa sana ,low blocks,high pressing na walikuwa wepesi kuwasoma wapinzani wao
Kwa jinsi walivyocheza sioni ni kwa jinsi gani wasifike nusu fainali ya champions league
Matokeo ni yanga 4 eagles sc 1 wafungaji ni bacca,lomalisa na mayele akatetema mara mbili
Yanga walicheza poa sana ,low blocks,high pressing na walikuwa wepesi kuwasoma wapinzani wao
Kwa jinsi walivyocheza sioni ni kwa jinsi gani wasifike nusu fainali ya champions league
Matokeo ni yanga 4 eagles sc 1 wafungaji ni bacca,lomalisa na mayele akatetema mara mbili