Haya ndugu watazamaji wa kituo chetu bora cha habari,ile mechi kali kati ya serikali na madaktari karibia kipindi cha pili kinaanza. HALF TIME ndo inaisha leo,timu zote zinajitaarisha kutoka kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
Naona REFA(wananchi) anakagua kiwanja,kwenye goli la serikali refa anakuta kuna vitu vimefukiwa(manesi,wauguzi,vitisho,fitna, dharau.......)
Hii ni aibu kwa timu kubwa kama serikali kutumia mbinu chafu za kushinda mechi dhidi ya timu iliyopanda daraja msimu huu,ikichukua nafasi ya timu ya WALIMU iliyoonyesha kiwango kibovu msimu uliopita na kusababisha ishike daraja.
Mechi hii lazima mshindi apatikane safari hii,hata kwa ushindi wa penati..
Naona REFA(wananchi) anakagua kiwanja,kwenye goli la serikali refa anakuta kuna vitu vimefukiwa(manesi,wauguzi,vitisho,fitna, dharau.......)
Hii ni aibu kwa timu kubwa kama serikali kutumia mbinu chafu za kushinda mechi dhidi ya timu iliyopanda daraja msimu huu,ikichukua nafasi ya timu ya WALIMU iliyoonyesha kiwango kibovu msimu uliopita na kusababisha ishike daraja.
Mechi hii lazima mshindi apatikane safari hii,hata kwa ushindi wa penati..