Mdude: Tutafanyia kongamano kituo cha polisi

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,882
35,891
Wakikabiliwa na mashinikizo yenye kufanana kutokea kwa walamba asali na vibaraka zao, lile kongamano la kina Mwabukusi linazidi kutumbukiziwa nyongo.

IMG_20231004_104100.jpg


Hakuna ukumbi unaopatikana kufanyia shghuli hii. Kwamba heri kwenda kufanyia kongamano hili polisi kwa sababu vyama vya upinzani vimewakomalia?

Kwamba kwa vile ruzuku au ubunge si vipaumbele vyetu pana baina yetu tumeapa kupambana na kina Slaa, Mwabukusi, Mdude na wenzao hadi wa wakwame tu?

Beberu anao ujumbe murua kwenu:

"Shame on you!"
 
Wakikabiliwa na mashinikizo yenye kufanana kutokea kwa walamba asali na vibaraka zao, lile kongamano la kina Mwabukusi linazidi kutumbukiziwa nyongo.

View attachment 2771375

Hakuna ukumbi unaopatikana kufanyia shghuli hii. Kwamba heri kwenda kufanyia kongamano hili polisi kwa sababu vyama vya upinzani vimewakomalia?

Kwamba kwa vile ruzuku au ubunge si vipaumbele vyetu pana baina yetu tumeapa kupambana na kina Slaa, Mwabukusi, Mdude na wenzao hadi wa wakwame tu?

Beberu anao ujumbe murua kwenu:

"Shame on you!"
haijabamba hii bado
 
Ajabu ni kuwa ma CCM na hata ma mapinzani uchwara leo yanaona kongamano kuzuiwa kinyume cha sheria ni sawa.
Ccm pambana na hali yenu , Mengine hayawahusu by ,the way Nawamegea kipande kiduchu tu kwamba , Mungu anasema ,na anasisitiza kwamba

Kwa kuwa yeye alisha wafuteni katika kiti cha utawala , na kwa kuwa mmezidisha mara dufu kibri, haitakua jipya chini ya jua kukufutilieni mbali hata kabla ya 2025, Bwana ananena kwa uchungu mkuu,

Ukikubali sawa ,ukikataa sawa , patelea mbali , nakupeni kitu jinsi kilivyo na Tunzeni hii
 
Ccm pambana na hali yenu , Mengine hayawahusu by ,the way Nawamegea kipande kiduchu tu kwamba , Mungu anasema ,na anasisitiza kwamba

Kwa kuwa yeye alisha wafuteni katika kiti cha utawala , na kwa kuwa mmezidisha mara dufu kibri, haitakua jipya chini ya jua kukufutilieni mbali hata kabla ya 2025, Bwana ananena kwa uchungu mkuu,

Ukikubali sawa ,ukikataa sawa , patelea mbali , nakupeni kitu jinsi kilivyo na Tunzeni hii

Mmemaliza tafrija?

Sherehe kubwa Lumumba, CHADEMA wakiparurana
 
Back
Top Bottom